Hakuna watu wenye ujuzi huu humu maana hata Mimi nilishawahi kuuliza Kama maswali ya hivi Kama mawili lakini sikujibiwa,kukushauri ingia kwenye mtandao search TRA dar es salaam uchukue contacts zao kisha piga uwaulize, ila siku za kupiga simu ni jumaatatu hadi ijumaa kuanzia saa 2 asubuhi hadi saa 12 jioni ndo mda mzuri wa kuwapata,