Msaada: Kosa Dogo linamchafua FB now

Msaada: Kosa Dogo linamchafua FB now

Muambie aongee na watu wa IT wamsaidie, si ajabu wala picha sio zake ni za mtu amefanana nae tu. Afu muambie akitaka kujitamani ajiangalie kwenye kioo
 
Mkuu Papizo nimefikia pazuri sana kwa maswali yangu, ujue mwanzo walitaka kufichaficha. anyway hebu nawe tupia maujanja uifunge hiyo akaunti, ina picha chafu sana, pamoja na makosa yake picha zilizopo zinawaweka pabaya sana ndg zake na hasa wazazi wake.

Sana mkuu wangu nimefurahi sana ulivyouliza hayo maswali yako, maana tulitaka kudanganywa na kufichwa ukweli....sia ajabu jamaa huyu now ndio anakula mambo kimya kimya, nimeuliza hapo na kutaka kutoa msaada ila naona ame ignore so wacha waignore mkuu hawana nia hawa...msaada wabure kabisa maana bora account iwe offline na blocked kuliko online na public...nitupie hayo majina!!
 
pole yake, mwambie hasijistress yatapita tu, kila mtu ana uchi so sio ishu sana kuona, vibaya kuutumia
 
Mfalme Daudi sasa huyo mchizi wake kwa nini hawi man enough amsaidie huyo dada? Yeye kama mwanaume wa kweli anao uwezo wa kumsaka na kumpata huyo jamaa, si aseme simu ni ya mpnzi wake?


Hili nalo neno,inawezekana kabisa simu ni ya huyo mchizi sasa wametibuana jamaa kaamua kumwaga mboga. Ujana huu!
 
nilikuwa najiuliza hili swali wa kichwa changu......
ili iweje?
hizi nyingine tunapiga ili tushee na wengine, sasa hizo za sirini watu wanapiga ili iweje? ukweli sielewi

na hizi wanapiga washee na wengine[sio fb au twitter]
 
Nimerudi Na info jamani!Then mbona papizo umekuwa mkali?Kuna jamaa wameni-PM na nishawapa username ndo nasubiri matokeo,wakishindwa zamu yako....
Haya ni muda Wa maswali yenu sasa tafadhali!
 
sidhan kama hiyo ishu ilikua inahitaj 3rd party zaid n yakuongea wenyewe..pia nahic wao wenyewe wanafahamiana uzuri sana mpk wakafikia hapo.....na kama alikuadisia kaangusha simu umefichwa kitu jaribu kuichunguza vizur hyo sinario yako....
 
Nimerudi Na info jamani!Then mbona papizo umekuwa mkali?Kuna jamaa wameni-PM na nishawapa username ndo nasubiri matokeo,wakishindwa zamu yako....
Haya ni muda Wa maswali yenu sasa tafadhali!

Wala sijawa mkali wangu, sema ni msaada wa bure tu kaka,naamini kila kitu kitaenda sawa na mwambie next time awe makini na mambo kama hayo...
 
sidhan kama hiyo ishu ilikua inahitaj 3rd party zaid n yakuongea wenyewe..pia nahic wao wenyewe wanafahamiana uzuri sana mpk wakafikia hapo.....na kama alikuadisia kaangusha simu umefichwa kitu jaribu kuichunguza vizur hyo sinario yako....

Anayefanya huo uchafu ni huyo jamaa yake aliyeachana nae na sio mtu mwingine, maana inaonekana jamaa alipigwa chini demu akapata mwanaume mwengine ndio maana ni kama ana pay back,....ujinga na utoto tu
 
Anayefanya huo uchafu ni huyo jamaa yake aliyeachana nae na sio mtu mwingine, maana inaonekana jamaa alipigwa chini demu akapata mwanaume mwengine ndio maana ni kama ana pay back,....ujinga na utoto tu

Exactly! ktk hizi picha binti anafanywa na jamaa(namaanisha anafanywa) intention ya jamaa ikiwa kupata picha as dirty as possible! nadhani akilenga kufanya anachokifanya sasa, hata account ya fb imefunguliwa na huyo x kwa kutumia majina ya huyu binti, na ndiye anaye-i-run. Sidhani hata kama ana shida na laki tatu kama mleta mada alivyodai mwanzo. mkuu nimeku-PM.
 
pole yake, mwambie hasijistress yatapita tu, kila mtu ana uchi so sio ishu sana kuona, vibaya kuutumia

Hahahaha! mkuu ktk hizo picha afadhali uchi ungeonekana tu. umefanywa, tena kwa kisirani.
 
Nimerudi Na info jamani!Then mbona papizo umekuwa mkali?Kuna jamaa wameni-PM na nishawapa username ndo nasubiri matokeo,wakishindwa zamu yako....
Haya ni muda Wa maswali yenu sasa tafadhali!

Wewe Mfalme Daudi maswali yangu mbona hujayajibu? nimekuuliza ni yapi mazingira yaliyosabisha bi Z aachane na bwana wa mwanzo? kwa nini umesema bi Z alipoteza simu wakati inaonesha picha zimepigwa kwa simu ya mwanaume? limeongezeka swali hapa, unajua kuwa account ya fb ilifunguliwa na huyo bwana na ndiye anayeiendesha?
 
Nkanga Nimeongea nae Na nimemuuliza yote.Maelezo yake bado no hayo hayo kuwa jamaa aliyeokota simu na kumpigia Mara kwa Mara Na ni tofauti na X wake.
Ila kilichonishangaza zaid nilipomwuliza kama X wake anajua yuko posted,akanijibu kuwa anajua na alipompa jamaa habari,akamjibu kifupi tu kuwa angemkubali warudiane yasingefika huko!
Na kwa hilo jibu na kwa akili yangu ndogo I see vivid na X yuko behind this Na labda ndo wanashirikiana Na jamaa kukomoa.
 
hivi mtu unajipiga picha za uchi ili iweje lakiniiii?? ujana kweli maji ya moto...

Lengo la kujipiga picha kwa huyu dada linajulikana. Ni kutaka kutuonesha alivyo, sasa mtu kamsaidia kumuonesha alivyo, yeye analalamika. Wengi wanaofanya mambo hayo huwa hawa fanyi risk assessment, kwamba mambo yatakuwaje iwapo simu itapotea.
 
duu ujana hata mimi huko nyuma niliwah mpiga msichana picha ili nikawaoneshe washkaji but afta kuwaonesha tu nika delete sasa yeye alipiga kwa madhumuni yap
 
kuna kitufe pale kwa fb a/c. yako kina options nyingi tu za ku report abuse,kudai ac yako na
hata ku report mtu aliyefungua ac kwa jina lako.nikitulia vizuri nita demostrate step by step
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom