Kwa upande mwingine hii kitu inasaidia jamani, sema naona kwenye hii thread watu wote mmekana na kuona huyo dada kama amefanya makosa, nadhani asilimia kubwa wengi wanafanya haya mambo tuache ujinga na unafki wa kukataa, mtu mpo mbali hamjaonana kwa mda fulani, kama ni mkeo gf au bf or whoever mmemisiana why msifanye hivyo ukumbusho unahifadhiwa tu na mnafanya for fun simple
Ila kosa kubwa hapo ambalo naweza sema ni huyo msichana kutofuta hivyo vitu baada ya kuachana na huyo jamaa ila sio why amefanya hivyo na kwa nini, nadhani tusi mseme wakati wengi wanafanya haya mambo....
Zaidi ni kumpa ushauri wa nini afanye...