Msaada: Kosa Dogo linamchafua FB now

Msaada: Kosa Dogo linamchafua FB now

It is much easier to hack account so he won't be able to log in. Unless he answer security question. Even if he answer security question u can still hack it and they will close account. It is a lot of process my friends usually do it. When they want to see someone inbox
 
Kwa fb ni rahisi kidogo kumtress mtu. Dada akipata msaada kidogo watamkamata huyo jamaa na apate kesi ya wizi wa simu n.k.
 
ntajie jina la hiyo account nitumie uwezo wangu mkubwa wa ushawish afute account tabia mbaya hii kanikera kweli huyo mwanaume

Au unataka kuzitumia kujikumbushia kale kamchezo tulikokufuma unakafanya geto wakati tunatafuta chupa ya mafuta ya kula?
 
Hahahaha mkuu unabana mpaka penalt, haha naona maswali magumu sana haya huyo jamaa kujibu, N.B Weka hilo jina...

Mkuu Papizo nimefikia pazuri sana kwa maswali yangu, ujue mwanzo walitaka kufichaficha. anyway hebu nawe tupia maujanja uifunge hiyo akaunti, ina picha chafu sana, pamoja na makosa yake picha zilizopo zinawaweka pabaya sana ndg zake na hasa wazazi wake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom