Msaada: Kosa Dogo linamchafua FB now

Msaada: Kosa Dogo linamchafua FB now

Dah.............. kumbe. Naye aliweka kumbukumbu za nini wakati mtu alishaachana nae? Aende TAKUKURU bwana ah...................

Mkuu ni heri hujaona hiyo makitu, haiwezekani arekodiwe kupitia simu yake na aendelee kuweka kumbukumbu hiyo. naamini huyo waliyeachana naye ndiye anayemfanyia hayo mambo, kwa sababu wanazozijua wao.
 
Weka jina la hyo akaunti ni hack then na idisable fanya fasta au kama vp ni pm jina la hyo account fb.
 
Yani sijawahI na sitowahi kujipiga pic hizo...huu ni ujinga ..kwan mwili wake haujui...na anajiamini vipi na hiyo simu yake...ana mkataba na wezi nn....pole yake na akomeee
Mhe hujui kujichua kwetu vijana? Tunatumiwa hizi picha ili tukojoe kam umpendaye yupo mbali (kinga ya ukimwi na njia ya kubana matumizi kwa kutopeleka ngawira kwa machangu). Inaonyesha alijipiga akamtumia mshikaji. Poleni ajali kazini
 
Thanx Gf angalau umenipa wazo...sasa mnataka username tena.
OK,wanaotaka username mikono juu niwa PM!

Weka hapa hiyo username hapa au ni PM na je unajuwa email aliyotumia huyo jamaa??kuna njia nyingi sana za kuiweka hiyo account down but but sio kuifunga complete.
 
Safi, haya swali la mwisho na muhimu sana, narudia tena muhimu sana, aeleze mazingira yaliyosababisha waachane na huyo bwana. na aseme ukweli ni simu ya nani ilitumika kurekodi zile picha.

Hahahaha mkuu unabana mpaka penalt, haha naona maswali magumu sana haya huyo jamaa kujibu, N.B Weka hilo jina...
 
Wengi yanawapata hayo. Na wengi washaadhirika. Lkn waschana hawakomi. Ukishapiga picha za namna hio hata km kwa siri ujue tu kuna siku lazima zitavuja. Lkn ndo uleo na uzungu mwingi. Mungu atuhifadhie kizazi chetu.
 
Kwa upande mwingine hii kitu inasaidia jamani, sema naona kwenye hii thread watu wote mmekana na kuona huyo dada kama amefanya makosa, nadhani asilimia kubwa wengi wanafanya haya mambo tuache ujinga na unafki wa kukataa, mtu mpo mbali hamjaonana kwa mda fulani, kama ni mkeo gf au bf or whoever mmemisiana why msifanye hivyo ukumbusho unahifadhiwa tu na mnafanya for fun simple

Ila kosa kubwa hapo ambalo naweza sema ni huyo msichana kutofuta hivyo vitu baada ya kuachana na huyo jamaa ila sio why amefanya hivyo na kwa nini, nadhani tusi mseme wakati wengi wanafanya haya mambo....

Zaidi ni kumpa ushauri wa nini afanye...
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Japo huyo dada kafanya makosa kujipga pcha za aina hyo ila Mijanaume mingine mifala kweli,,...yaan ugumu wake wa maisha ndo katumia chance ya kumdhalilisha mwenzie,,...lol sijui yatabadlika ln mijanaume ya aina hii
 
ni she/he
na kakiingereza hapo mmhhh!!!!!

cha kumsaidia hakuna,au unasuggest tuanze
kumchangia hadi zifike hizo laki 3

KikwEte midium engLISh shool. Daudi amenigwa na Goliati akajikuta amechanganya mchanganyiko wa visiwa vya Zimbabwe na Tanganyika.
 
Mwambie amtafute huyo Jamaa ampe Papuchi labda jamaa atalegeza msimamo...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom