Msaada: Kosa Dogo linamchafua FB now

Msaada: Kosa Dogo linamchafua FB now

Nkanga Nimeongea nae Na nimemuuliza yote.Maelezo yake bado no hayo hayo kuwa jamaa aliyeokota simu na kumpigia Mara kwa Mara Na ni tofauti na X wake.
Ila kilichonishangaza zaid nilipomwuliza kama X wake anajua yuko posted,akanijibu kuwa anajua na alipompa jamaa habari,akamjibu kifupi tu kuwa angemkubali warudiane yasingefika huko!
Na kwa hilo jibu na kwa akili yangu ndogo I see vivid na X yuko behind this Na labda ndo wanashirikiana Na jamaa kukomoa.

Aksante kwa ushirikiano! nimemaliza kazi yangu. mfikisheni huyo jamaa ktk vyombo vya kisheria. Next time muwe wazi mapema ili mpate msaada mapema.
 
Hahahaaa haufahamu uchi wake? au alikua anauweka sokoni? sikubaliani na kigezo kuwa eti ni kiongozi wa dini na huu ni msimu wa mfungo!!! Unataka kuleta picha gani hapa? tusihusishe mwezi mtukufu na uchafu wetu. Kama huyo binti ni wa hapa Dar basi alifanya makusudi na anatabia chafu sana, namfahamu japo kwa sura, nasema hivi maana kuna incidence ambayo mtu fulani alinijulisha kuwa fulani kapaiga nae picha za hovyo na baada ya hapo jamaa kaziweka FB. Just the same same story.....kama ni kweli ndio huyo basi huyu binti ni malaya naaache kabisa kutembea na kila mvulana. Amemaliza kidato cha nne hapo shule fulani hapo mwaka juzi.
 
Sasa Elia umefika Mbali!She's not what you said Na namjua ndo maana nasema hayo!..Yeah,She'z not a B***h!
 
kazi ndogo hiyo, unaingia kwa wakala unamjua A TO Z, unachukua polisi unamweka ndani.....
simu ni ya mtu binafsi, kama yeye mjanja alipaswa atupe line pamoja na memory card,
vinginevyo unaomba urafiki na rafiki zake wa karibu, unachati nao, unawauliza kama wanamjua mnamkamata,
me nilishawahi kumkamata mwizi wa simu na rafiki yangu, tuka-act kama wapelelezi tukamtia ndani na kumlipisha faini
 
Hapo hakuna cha kufanya zaidi ya kuongea na jamaa kiutu uzima.....mwanaume dhaifu kwa mwanamke ujue hasa ukijua kuongea ki utu uzima....
 
nilikuwa najiuliza hili swali wa kichwa changu......
ili iweje?
hizi nyingine tunapiga ili tushee na wengine, sasa hizo za sirini watu wanapiga ili iweje? ukweli sielewi

Unapiga ili ujione mama, hivi unajua kuna maeneo japo yapo mwilini mwako huwezi ukayaona kirahisi rahisi hata kwa kutumia kioo cha kujitazama mpaka uipeleke kamera tu? Kosa alilolifanya ni kuendelea kuzi-save. Kwa mfano imenichukua miaka mingi sana kupaona chini ya korodani zangu mpaka nilipoipeleka Kamera, sema sikufurahishwa na rangi ya ngozi nikadiliti fasta
 
ni pm hiyo FB link, naweza kuifuta hiyo account, bila msaada wa huyo jamaa anayetaka laki tatu. nimsaidie tu huyu bint!
 
Unapiga ili ujione mama, hivi unajua kuna maeneo japo yapo mwilini mwako huwezi ukayaona kirahisi rahisi hata kwa kutumia kioo cha kujitazama mpaka uipeleke kamera tu? Kosa alilolifanya ni kuendelea kuzi-save. Kwa mfano imenichukua miaka mingi sana kupaona chini ya korodani zangu mpaka nilipoipeleka Kamera, sema sikufurahishwa na rangi ya ngozi nikadiliti fasta
HA HAAAA..... yaani hapo black nimecheka mpaka naonekana mwehu.......lol!
 
Exactly! ktk hizi picha binti anafanywa na jamaa(namaanisha anafanywa) intention ya jamaa ikiwa kupata picha as dirty as possible! nadhani akilenga kufanya anachokifanya sasa, hata account ya fb imefunguliwa na huyo x kwa kutumia majina ya huyu binti, na ndiye anaye-i-run. Sidhani hata kama ana shida na laki tatu kama mleta mada alivyodai mwanzo. mkuu nimeku-PM.

Daaa inahuzunisha sana kwa kweli kama ni hivyo naona umeweka na msisitizo mkuu (anafanywa) sure hapo ni kweli kabisaa nadhani jamaa shida yake sio hela bali anamkomoa huyo dada, Si unaona sasa mkuu, na inaaonekana mleta mada ana nia ya kumsaidia rafiki yake ila hapa me naona kama huyo demu hataki kuwa straight kwa huyu jamaa.....
 
ntajie jina la hiyo account nitumie uwezo wangu mkubwa wa ushawish afute account tabia mbaya hii kanikera kweli huyo mwanaume
yani kama ulikuwepo ebu taja hiyo akaunti kwanza, ila watu hawakomi, unadanganywa kupigwa picha nikikukumbuka niwe nakuona, upuuzi kabisa, hiko kitu sitakuja kukifanya hata nikutane na dada malaya vp, ila najiulizaga kwa nini kwa mabinti tu? hao wakaka mbona hawapigi mihogo yao na vibamia vyao? wadada jifunzeni na mbadilike mpe akimaliza basi picha ajipige yeye apeleke kwa dada zake wamuone, inakera sana, nakereka sana na kizazi hiki cha nyoka.
 
mwambie aendelee tu na maisha yake asitoe hata ten, kwani ye celeb?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom