Mfalme Daudi
Senior Member
- Dec 23, 2011
- 110
- 245
- Thread starter
- #41
Nkanaga vote ulivyoona vilikuwa kwenye simu!..Na video clip zilirekodiwa pia Na zilikuwa ndani ya simu.
Nkanaga vote ulivyoona vilikuwa kwenye simu!..Na video clip zilirekodiwa pia Na zilikuwa ndani ya simu.
Labda nimwite mwenyewe aje kueleza ilivyokuwa!
Si aweke tu mtego, wangapi wanakamatwa, mtegeshee hizo pesa anazodai. Adakwe umfungulie na kesi. Hivi TAKUKURU hawadili na rushwa za hivi au hii sio rushwa nayo? Mie makamera ya kwenye masimu nayaheshimu sana aisee........... hata ukiwa na mumeo faragha hakikisheni simu zimefungwa akhaa kwanza zinapunguzia concentration..................
Ni kweli nimemwuliza anadai hizo Video alipigwa Na mchizi wake wakati waki-do,Na ndo jamaa ame target hapo!
Mfalme Daudi sasa huyo mchizi wake kwa nini hawi man enough amsaidie huyo dada? Yeye kama mwanaume wa kweli anao uwezo wa kumsaka na kumpata huyo jamaa, si aseme simu ni ya mpnzi wake?Ni kweli nimemwuliza anadai hizo Video alipigwa Na mchizi wake wakati waki-do,Na ndo jamaa ame target hapo!
Walisha break na jamaa!Ila hizo picture zilikuwa kwa simu yake aliyoipoteza!
Walisha break na jamaa!Ila hizo picture zilikuwa kwa simu yake aliyoipoteza!
Ni rafiki yangu Wa kike na siku kadhaa zilizopita alipoteza simu yake ambayo ilikuwa Na picha alizojipiga akiwa half naked,Na nyingine ni Full naked.
Kuna mjanja kaiokota akatafuta jina lake akalipata,kaingia Facebook akafungua new account akaipa jina la Huyo binti.
Anachofanya now ana-upload picha moja baada ya nyingine kila siku na amempigia simu huyu binti anamwambia ampe laki 3 ili asitishe zoezi Na kufuta hiyo account..
Binti kachanganyikiwa now sababu hana hela Na nyumbani wakijua ni bonge LA msala na aibu coz mzee ni noma Na ni kiongozi wa dini ukizingatia na huu muda wa Ramadhani.
Nimejaribu kuchati jamaa kupitia account hiyo alipokuwa online asubuh amesema yuko serious Na sasa anaanza na video clip zilizomo!
Naombeni michango ya mawazo tumshauri nini cha kufanya kuhusu hili,Na je kuna uwezekano wa kufunga account au hiyo kwa njia tofauti au kama kuna sheria kumkamata na kumshtaki jamaa coz only kilichopo ni namba yake tu.
Dah.............. kumbe. Naye aliweka kumbukumbu za nini wakati mtu alishaachana nae? Aende TAKUKURU bwana ah...................
hata hizo za sirini wapo watu wa kushea nao lolnilikuwa najiuliza hili swali wa kichwa changu......
ili iweje?
hizi nyingine tunapiga ili tushee na wengine, sasa hizo za sirini watu wanapiga ili iweje? ukweli sielewi
Namwonea huruma coz ni kweli yuko kwenye hali mbaya sana hata nikiongea nae I feel her!Na ana siku ya 3 amejifungia ndani.Na wazazi Na ndugu wakijua ndo kush nehi yake!
ukipiga picha za uchi hakikisha unaziwekea password/pin etc.