Msaada: Kampuni ya Sunranch ni halali au ni utapeli mwingine?

Msaada: Kampuni ya Sunranch ni halali au ni utapeli mwingine?

Wizi mtupu.

Yani utoe ela ununue Nyoka sijui kuku.

Mara ukusanye point.

Lugha zote za kitapeli hizo.

Njoo fafanua biashara inaendeshwaje, inazalisha bidhaa gani au inauza bidhaa gani au huduma gani? Wateja ni nani?

Mikataba ipi mtu anaingia, analindwa vipi kisheria na uwekezaji wake?

Sio bla bla tu za kihuni
Wanatambulika na gov wanadai.
 

Attachments

  • Screenshot_20231105-102550_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20231105-102550_WhatsApp.jpg
    82.6 KB · Views: 16
Aisee
 

Attachments

  • Screenshot_20231105-102625_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20231105-102625_WhatsApp.jpg
    178.9 KB · Views: 14
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wakuu.

Kuna kampuni hii ya mtandaoni inaitwa "Sunranch", hii ni kampuni ambayo unanunua mnyama mtandaoni na kuanza kupiga faida kila siku.

Kuna mtu ananishawishi nijiunge lakini moyo unasita.

Kama kuna mtu ambaye ameshashiriki ninaomba dodoso tafadhari.

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Ukiitiwa fursa jua hiyo fursa ni wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ya, maana watu waliotoa laki 6 hadi sasa ni kama watu 1200, sasa lak 6 x 1200 ni 720,000,000.

Wao watoe milioni 6 x watu 1200 , = 7,200,000,000 ni bilion saba na milioni 200.

Sasa ukichukua bilioni 7 utoe milion 700 ,ni bilion 6 na point ,et waitoe tu for free, hapo ndipo daught inakuja.
Aliyeelewe anieleweshe zaidi 😀 naona hesabu za milioni 700 inapaa hadi billion 7
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wakuu.

Kuna kampuni hii ya mtandaoni inaitwa "Sunranch", hii ni kampuni ambayo unanunua mnyama mtandaoni na kuanza kupiga faida kila siku.

Kuna mtu ananishawishi nijiunge lakini moyo unasita.

Kama kuna mtu ambaye ameshashiriki ninaomba dodoso tafadhari.

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Wewe kapigwe tu!! Nadhani serikali sasa ni muda mwafaka wa kuweka sheria kuwa jinga lolote litakapo tapeliwa kupitia njia hii, na kuanza kuilaumu serikali ni kifungo cha mwaka 2!!!
 
Kwenye huu uzi kuna hekima itakufaa kuhusu unalouliza

 
Mkuu hujanielewa, juz ijumaa walitoa ofa ya mnyama mpya nyoka kuwa ukimnunua nyoka kwa laki 6, bas unapata point ambazo zitakuwezesha kupata milion 5 hadi 6, hii ofa ilianza ijumaa asubuh ikafungwa saa 12, jana walifungua tena hii ofa wakasema itaisha nov 5 yaan leo, na ukilipa tu lak 6 milion 5 unaiona kwenye akaunt ila kutoa ndio mbaka jumatatu, sasa sijui kama itatoka kwel na weng sana wamemnunua nyoka ili wapate hii mil 5.
Hio ni akili kubwa, wanakuonyesha hela ili na wewe uendelee kuwapigia debe, muendelee kutoa hio laki sita na kuiona milioni 6 ya mtandao, ikifika jumatatu wataongeza Siku mbili tena ili kuwakamata watanganyika wapenda vya bure. Kumbuka hapo hakuna aliyepata kash. Baadae mtaambiwa mtandao unasumbua endeleeni kuwekeza.
Baada ya hapo mtalia kilio cha Gaza, nitarudi kuutafuta huu uzi jumatatu jioni, ambalo najua mliowekeza mtakuwa na hasira kuu Kama Netanyahu
 
Hio ni akili kubwa, wanakuonyesha hela ili na wewe uendelee kuwapigia debe, muendelee kutoa hio laki sita na kuiona milioni 6 ya mtandao, ikifika jumatatu wataongeza Siku mbili tena ili kuwakamata watanganyika wapenda vya bure. Kumbuka hapo hakuna aliyepata kash. Baadae mtaambiwa mtandao unasumbua endeleeni kuwekeza.
Baada ya hapo mtalia kilio cha Gaza, nitarudi kuutafuta huu uzi jumatatu jioni, ambalo najua mliowekeza mtakuwa na hasira kuu Kama Netanyahu
, maana watu waliotoa laki 6 hadi sasa ni kama watu 1200, sasa lak 6 x 1200 ni 720,000,000.

Wao watoe milioni 6 x watu 1200 , = 7,200,000,000 ni bilion saba na milioni 200.

Sasa ukichukua bilioni 7 utoe milion 700 ,ni bilion 6 na point ,et waitoe tu for free, hapo ndipo daught inakuja.
 
Hio ni akili kubwa, wanakuonyesha hela ili na wewe uendelee kuwapigia debe, muendelee kutoa hio laki sita na kuiona milioni 6 ya mtandao, ikifika jumatatu wataongeza Siku mbili tena ili kuwakamata watanganyika wapenda vya bure. Kumbuka hapo hakuna aliyepata kash. Baadae mtaambiwa mtandao unasumbua endeleeni kuwekeza.
Baada ya hapo mtalia kilio cha Gaza, nitarudi kuutafuta huu uzi jumatatu jioni, ambalo najua mliowekeza mtakuwa na hasira kuu Kama Netanyahu
Mkuuu wanaweza kua wana ela kweli.
 
Mkuu hujanielewa, juz ijumaa walitoa ofa ya mnyama mpya nyoka kuwa ukimnunua nyoka kwa laki 6, bas unapata point ambazo zitakuwezesha kupata milion 5 hadi 6, hii ofa ilianza ijumaa asubuh ikafungwa saa 12, jana walifungua tena hii ofa wakasema itaisha nov 5 yaan leo, na ukilipa tu lak 6 milion 5 unaiona kwenye akaunt ila kutoa ndio mbaka jumatatu, sasa sijui kama itatoka kwel na weng sana wamemnunua nyoka ili wapate hii mil 5.
Unanunua nyoka kwa laki 6?? Halafu inakuwaje unapata milioni 5?? Kuna mambo mengine mbona huhitaji hata kushauriwa jamani. Ingekuwa ni mnyama mfano mbuzi, ng'ombe, kuku nk ambazo unajua zitauzika na kutoa faida hapo sawa.
 
Unanunua nyoka kwa laki 6?? Halafu inakuwaje unapata milioni 5?? Kuna mambo mengine mbona huhitaji hata kushauriwa jamani. Ingekuwa ni mnyama mfano mbuzi, ng'ombe, kuku nk ambazo unajua zitauzika na kutoa faida hapo sawa.
Watu wanapiga ela,nitakuja kutoa mrejesho
 
Back
Top Bottom