Msaada: Kampuni ya Sunranch ni halali au ni utapeli mwingine?

Msaada: Kampuni ya Sunranch ni halali au ni utapeli mwingine?

images (9) - 2022-07-09T113816.303.jpeg
 
Kama kuna mtu ambaye ameshashiriki ninaomba dodoso tafadhari.
Ukiuliza kwa sasa hivi majibu ni lazima yatakuwa chanyatu, watu wanapiga hela.

Huu ni muda wa matangazo ya word of mouth

Baadaye ikija kufika juu mzunguko ukakua pesa ikaonekana au ikaanza kupungua yaani pale top. Hapo ndo utasikia, tutarejea hewani baada ya muda mfupi muwe na utulivu
 
Ukiuliza kwa sasa hivi majibu ni lazima yatakuwa chanyatu, watu wanapiga hela.

Huu ni muda wa matangazo ya word of mouth

Baadaye ikija kufika juu mzunguko ukakua pesa ikaonekana au ikaanza kupungua yaani pale top. Hapo ndo utasikia, tutarejea hewani baada ya muda mfupi muwe na utulivu
Hali ilivyo kwa sasa ni kuwa watu wamenunua nyoka kwa lak 6 ijumaa, na jumatatu wameahidiwa kupata milioni 6, tunasubr tuone.
 
Hali ilivyo kwa sasa ni kuwa watu wamenunua nyoka kwa lak 6 ijumaa, na jumatatu wameahidiwa kupata milioni 6, tunasubr tuone.
Natabiri watapata!

Ili sasawale wengi walokuwa wabishi walainike wajiunge ili sasa ndo wapigwe.

Hii ni hatua ya matangazo. Shuhuda binafsi zinakusanywa
 
Hamna kitu napenda kama hii, piga mijinga mpaka masikio yatoe damu, gwajima anapiga upande huu,geordavie anapiga kwa kule,kalinda alibutua akasepa zake,sasa ni sunranch,piga kabisa hao pimbi,na ccm nayo itaendelea kuwatafuna hadi mchakae kunguni nyie
 
Mkuu hii nimeona kuna watu wanapata ela kwelii,mfano jana kuna watu wamenunua nyoka kwa lak 6,wamepata mil 5,jana hyo mkuu
Acha uongo. Anunue jana na apate jana?

Iko hivi: unanunua mnyama. Mfano - bata anauzwa sh 50000/=. Kinachofanyika utakuwa unalipwa sh 2000 kila siku kwa muda wa miezi 3. Siyo unalipwa yote 180,000/= utapewa kwa pamoja.

Unaweza kununua mnyama zaidi ya mmoja na malipo ni kwa kila mnyama.

Yuko padri mmoja msomi kanunua wanyama wenye thamani ya sh 6m. Analipwa sh 92,000/= kila siku. Nabatalipwa hivyo kwa miezi 6.

Utata ni je project itadumu kwa huo muda wote? Wewe unayefikiria kujiunga leo, utakula kama hawa wanaokula sasa hivi?

La kujifunza ni kuwa hii michezo yote inapoanza hulipa sana. Halafu network huanza kusumbua na kisha wahusika hupotea.

You may join for your own risk.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Sasa mnyama huyo anazalishaje pesa daily?
Ni kama mkataba tu kuwa ukimpa mtu sh 100,000/= atakuwa anakulipa sh 2000 kila siku kwa muda fulani ambao mtakaubaliana.

Siku akipotea kabla ya kumaliza kulipa hiyo laki ndo utaelewa kama hii ni DEC au KALYNDA au ni kitu tofauti.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Acha uongo. Anunue jana na apate jana?

Iko hivi: unanunua mnyama. Mfano - bata anauzwa sh 50000/=. Kinachofanyika utakuwa unalipwa sh 2000 kila siku kwa muda wa miezi 3. Siyo unalipwa yote 180,000/= utapewa kwa pamoja.

Unaweza kununua mnyama zaidi ya mmoja na malipo ni kwa kila mnyama.

Yuko padri mmoja msomi kanunua wanyama wenye thamani ya sh 6m. Analipwa sh 92,000/= kila siku. Nabatalipwa hivyo kwa miezi 6.

Utata ni je project itadumu kwa huo muda wote? Wewe unayefikiria kujiunga leo, utakula kama hawa wanaokula sasa hivi?

La kujifunza ni kuwa hii michezo yote inapoanza hulipa sana. Halafu network huanza kusumbua na kisha wahusika hupotea.

You may join for your own risk.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Mkuu hujanielewa, juz ijumaa walitoa ofa ya mnyama mpya nyoka kuwa ukimnunua nyoka kwa laki 6, bas unapata point ambazo zitakuwezesha kupata milion 5 hadi 6, hii ofa ilianza ijumaa asubuh ikafungwa saa 12, jana walifungua tena hii ofa wakasema itaisha nov 5 yaan leo, na ukilipa tu lak 6 milion 5 unaiona kwenye akaunt ila kutoa ndio mbaka jumatatu, sasa sijui kama itatoka kwel na weng sana wamemnunua nyoka ili wapate hii mil 5.
 
Ok. Sorry , hiyo ilinipita kiongozi. Tusubiri tuone jumatatu. Isijekuwa ndo mwisho wa game. Tukaambiwa mtandao unasumbua.

Wakenya wanatutesa sana aisee.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wakuu.

Kuna kampuni hii ya mtandaoni inaitwa "Sunranch", hii ni kampuni ambayo unanunua mnyama mtandaoni na kuanza kupiga faida kila siku.

Kuna mtu ananishawishi nijiunge lakini moyo unasita.

Kama kuna mtu ambaye ameshashiriki ninaomba dodoso tafadhari.

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Mara nyingine kuwa mtu wakusikiliza sauti yako ya ndani kuliko kuwasikiliza watu
 
Ila mtu mwenye akili timamu hawezi kuucheza Huo mchezo..maana uko wapi kabisa kama lazima utapeliwe mbele
Sasa unaweza kuta mda wa kutapeliwa bado kwahyo ukawin, in fact ni vigumu kujua kama target yao ya kupiga ela ndio imetimia.

Mfano kwasasa kuna nyoka anauzwa laki 6, na ukinunua tu mda huo unapata milioni 5, ila huwez itoa mbaka jumatatu.
 
Back
Top Bottom