Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 44,835
- 132,600
Wabongo kila siku mnatapeliwa, na bado hamkomi.Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wakuu.
Kuna kampuni hii ya mtandaoni inaitwa "Sunranch", hii ni kampuni ambayo unanunua mnyama mtandaoni na kuanza kupiga faida kila siku.
Kuna mtu ananishawishi nijiunge lakini moyo unasita.
Kama kuna mtu ambaye ameshashiriki ninaomba dodoso tafadhari.
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Hivi jambo kama hili nalo linahitaji ushauri kweli!! Katika hali ya kawaida, unamnunua vipi mnyama mtandaoni!!