Msaada: Kampuni ya Sunranch ni halali au ni utapeli mwingine?

Msaada: Kampuni ya Sunranch ni halali au ni utapeli mwingine?

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wakuu.

Kuna kampuni hii ya mtandaoni inaitwa "Sunranch", hii ni kampuni ambayo unanunua mnyama mtandaoni na kuanza kupiga faida kila siku.

Kuna mtu ananishawishi nijiunge lakini moyo unasita.

Kama kuna mtu ambaye ameshashiriki ninaomba dodoso tafadhari.

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
kwenye maisha siku zote hakuna hela ya bure mwisho wake mtalia tu kwa kupenda vya bure
 
Ila watanzania ni wagumu Sana kuelewa. Wanapigwa Sana ila wapi.
 
Kama fisi hayupo kwenye biashara hizo biashara ni batili
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wakuu.

Kuna kampuni hii ya mtandaoni inaitwa "Sunranch", hii ni kampuni ambayo unanunua mnyama mtandaoni na kuanza kupiga faida kila siku.

Kuna mtu ananishawishi nijiunge lakini moyo unasita.

Kama kuna mtu ambaye ameshashiriki ninaomba dodoso tafadhari.

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Utspeli mpya
 
Hahaa hivi wabongo ni lini tutapata akili? Halafu na humu Jf mbona tumeimba sana tangu enzi za kudownload hela na Ontario. Ajabu watu mnaendelea kupigwa tu?
 
Wazee imefikia huku
 

Attachments

  • Screenshot_20231107-110222_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20231107-110222_WhatsApp.jpg
    103.6 KB · Views: 13
Ukipita Njiani kwenye mikusanyiko utaona Jamaa kapaki Gari kirikuuu yuko na maspika anarushia watu nguo

unasema BEI anakurushia, kazungukwa na watu wengiiuii, Anainua kitenge kikaliiii anakitingosha mtu anasema BUKUUU anarushiwa...

Nawewe unaona unatamani unaenda akikuona tuu anatoa kingine ukisema hata Jeroooo anakurushia...

Unafatwa utoe hela, Ukienda home kitenge sio kitenge ni pazia lilichorwa, Wale watu wote waliokuzunguka Ni team Mates wa jamaa kuwazuga new comer kama wewe.

Hili Jambo anapasuka mtu
 
WADAU NAPENDA KUSIKITIKA NA KUSEMA KUWA SUNRANCH GROUP LIMEFUNGWA, ELA HAZITOKI
 
Back
Top Bottom