Ndondocha mkuu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 2,516
- 3,041
BadoVipi,ameshapokea?
BadoVipi,ameshapokea?
Si bora ukaanza kufanya biashara ya kunua ng'ombe huku Shinyanga uje uuze Dar. Yaani unauziwa ngo"ombe wa mitandaooni na wewe unatoa hela kabisa.
Ngoja nisubiri mrejesho wako mkuuWatu wanapiga ela,nitakuja kutoa mrejesho
Tupeni majibu ya walionunua nyoka kwa laki 6 maana mdogo angu Seleman GENTAMYCINE kaweka 1.2m nasubiri apigwe kono la nyani kama jana.
Ngoja tuone maana GENTAMYCINE anatetemeka hela yenyewe alitumwa akanunue pembejeo za huko kwao Musoma yeye akajiona mjanja kuwekeza.Bado mkuu,imeandika waiting
Kwamba Simba unamnunua mtandaoni..!!! Hivi DECI haikuwatosha kujua kuwa mnapigwa?Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wakuu.
Kuna kampuni hii ya mtandaoni inaitwa "Sunranch", hii ni kampuni ambayo unanunua mnyama mtandaoni na kuanza kupiga faida kila siku.
Kuna mtu ananishawishi nijiunge lakini moyo unasita.
Kama kuna mtu ambaye ameshashiriki ninaomba dodoso tafadhari.
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Ili upigwe, lazima waweke vivutio..!!Mkuu hii nimeona kuna watu wanapata ela kwelii,mfano jana kuna watu wamenunua nyoka kwa lak 6,wamepata mil 5,jana hyo mkuu
Hahah et waiting and your money is with them dahBado mkuu,imeandika waiting
Hii haifanyi kazi peke yake, wana TIN? Wana Leseni ya biashara?Wanatambulika na gov wanadai.
Ubatizo Au kipaimara?Vipi,ameshapokea?
Halali kabisa weka hela upate helaKama kichwa cha habari kinavyojieleza wakuu.
Kuna kampuni hii ya mtandaoni inaitwa "Sunranch", hii ni kampuni ambayo unanunua mnyama mtandaoni na kuanza kupiga faida kila siku.
Kuna mtu ananishawishi nijiunge lakini moyo unasita.
Kama kuna mtu ambaye ameshashiriki ninaomba dodoso tafadhari.
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
HahaUbatizo Au kipaimara?
Hii huenda ikawa kweli, ngoja nizame[emoji119][emoji119]
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Tuwekee ushahidi wa muamala na screenshot hapa then tutajiunga kwa wingiEla zinakuja,, mjiunge wana jf