Mkuu hii nimeona kuna watu wanapata ela kwelii,mfano jana kuna watu wamenunua nyoka kwa lak 6,wamepata mil 5,jana hyo mkuu
Fafanua vizuri Mkuu maana Nimelima maharage hapa na nimevuna Debe 5 naweza uza debe 5 zote nijilishe huyo NyokaKama kichwa cha habari kinavyojieleza wakuu.
Kuna kampuni hii ya mtandaoni inaitwa "Sunranch", hii ni kampuni ambayo unanunua mnyama mtandaoni na kuanza kupiga faida kila siku.
Kuna mtu ananishawishi nijiunge lakini moyo unasita.
Kama kuna mtu ambaye ameshashiriki ninaomba dodoso tafadhari.
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
humshawishi mtu, kwa nn usiwashawishi ndugu zako waondokane na umaskini, lak 6 kwa milion 5 !!!WAtu wamenunua nyoka kwa laki 6,wanasubr mil 5 jumatatu.
Nunua Leo,ukimuuza mnyama wako toa Hela Yako fastaa
watu wanapga ela nyie
WAtu wamenunua nyoka kwa laki 6,wanasubr mil 5 jumatatu.
Kulaleki, hapo kwenye pointi kugeuka hela.. hapoo mhh 😂
humshawishi mtu, kwa nn usiwashawishi ndugu zako waondokane na umaskini, lak 6 kwa milion 5 !!!
Ukiuliza kwa sasa hivi majibu ni lazima yatakuwa chanyatu, watu wanapiga hela.
Huu ni muda wa matangazo ya word of mouth
Baadaye ikija kufika juu mzunguko ukakua pesa ikaonekana au ikaanza kupungua yaani pale top. Hapo ndo utasikia, tutarejea hewani baada ya muda mfupi muwe na utulivu
Anhaa, basi hapo hakuna wa matangazo wala wa kupigwa... ni wote tu wanajazwamoHii imekaa kitapeli Sana. Maana pointi kubadilika kuwa pesa ni mpaka mwaka uishe.
WatalipaSasa Ni jumatatu usiku, chakula Cha jioni mmekula lakini, maana kutapeliwa ni msiba, tupeane mrejesho wandugu, msiugulie kimyakimya, problem shared is partly solved
Na hii inatoa indicator kwa wale waliowekeza ili kupata mwisho wa mwaka, vitambi vimetepeta
Nimekuwa busy Sana Tena zaidi ya kawaida kutokana na Hali halisia ilivyo, ila uzuri ni kwamba kampuni hii italeta furaha kwa Kila mmoja na kutimiza ahadi zake zotee. Tunatambua kuwa mambo mengi yanawawia vigumu kuelewa, lakini uzuri ni kwamba baada ya furaha kurudi kwa Kila mmoja tunaomba usisahau kumshukuru Mungu kwa aliyekupa fursa hii. C. E. O Mr Douglas promised the best method for all ranchers for his love of Tanzania country, so let us wait calmly and patience Good Night🙏🏿Hakuna biashara ya hivyo
Mkuu usiwe Kama jina lako, unakumbuka nilisema watawaongezea Siku mbili, halafu watapotea mazima, huenda mimi ndio mlipaji mwenyewe, unaniamini ee!! kesho saa nane nita ku tagNew update: malipo ni kesho before saa 4 asubuh.
Sio kwamba wewe ndio tapeli.unatafuta wsteja kiaina? Huku hupati hata mmoja tunajielewa. Nenda facebookKama kichwa cha habari kinavyojieleza wakuu.
Kuna kampuni hii ya mtandaoni inaitwa "Sunranch", hii ni kampuni ambayo unanunua mnyama mtandaoni na kuanza kupiga faida kila siku.
Kuna mtu ananishawishi nijiunge lakini moyo unasita.
Kama kuna mtu ambaye ameshashiriki ninaomba dodoso tafadhari.
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Tepeli mkuu wa matepeli weweWAtu wamenunua nyoka kwa laki 6,wanasubr mil 5 jumatatu.