Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 3,666
- 7,111
Umekosea kiongozi... ni muamala, sio Muhamala 😅👍🏾Weka namba hapa; ili sehemu zote zicheke kutokana na muhamala 😂 😂
Umekosea kiongozi... ni muamala, sio Muhamala 😅👍🏾Weka namba hapa; ili sehemu zote zicheke kutokana na muhamala 😂 😂
Kwani kwenye kiapo cha ndoa aliapa aje. Hiyo ndoa haiwezi kuvunjwa kwa sababu yoyote ile isipokuwa uzinziHabari ndugu zangu, naishi Kigoma, nina lafiki yangu wa kike alifunga ndoa na mwanaume mmoja hivi toka wameona mwanaume hajawahi kushiriki tendo la ndoa na hana uwezo kabisa.
Wameishi miezi 3, hali hiyo imefanya binti arudi kwao. Kwa sasa anamiezi 2 na amepata mchumba mwingine, je, anawezaje kuvunja ndoa?
Naomba ushauri wapendwa.
Ndoa haiwezi kuvunjwa kwa mwanaume kushindwa kutiaWalifunga ndoa kanisani? Aende kwa mchungaji atoe lalamiko lake,ndoa inavunjwa fasta ,kama kweli jamaa jogoo hawiki, bila jogoo kuwika hakuna ndoa hapo
Ni zaidi ya hatari hadi walevi waliohudhuria nao uwatafute waje wamelewa bia zilezile otherwise mpaka mmoja wenu afe.Hatariii
Mimi najiuliza tu kipindi Cha uchumba walipitaje pitaje bila kukulana? Je ndo mbuzi kwenye gunia?Pengine hilo tatizo sio permanent (la kudumu) ithibitishwe kuwa hawezi kutibiwa ndio mambo mengine yafuate bado ni mke wake kihalali kabisa.
Ndugu umeoa? Ulipitia mafunzo ya kanisa hasa katoliki?
Mwanaume km hanithi, ndoa inavunjwaKwani kwenye kiapo cha ndoa aliapa aje. Hiyo ndoa haiwezi kuvunjwa kwa sababu yoyote ile isipokuwa uzinzi
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Una uhakika na unachokisema ? au unajibu tu ..pitia hapa kisha kamuulize padre au askofu wako
Uislam raha sana.Habari ndugu zangu, naishi Kigoma, nina lafiki yangu wa kike alifunga ndoa na mwanaume mmoja hivi toka wameona mwanaume hajawahi kushiriki tendo la ndoa na hana uwezo kabisa.
Wameishi miezi 3, hali hiyo imefanya binti arudi kwao. Kwa sasa anamiezi 2 na amepata mchumba mwingine, je, anawezaje kuvunja ndoa?
Naomba ushauri wapendwa.
Ok kuhusu hizi sababu hasa namba 2 hapa chini unasemaje ?Mkuu, nikupe tu ushauri kwamba wakati mwingine ni busara kunyamaza kimya kuliko ku-comment jambo ambalo huna hakika nalo halafu ukampotosha mtoa mada.
Kanisa halivunji ndoa ya Kikristo hata siku moja. Kinachofanyika ni kwamba ukitokea mgogoro kati ya wanandoa, jukumu la Kanisa ni kuwasuluhisha tu wanandoa hao, lakini likishindwa kuwasuluhisha litaandika Hati ambayo mwanandoa anayetaka kuachana na mwenza wake ataiambatanisha hati hiyo kwenye maombi maaalumu ya kuiomba Mahakama iwaachanishe wanandoa hao.
Lakini ili Mahakama iwaachanishe wanandoa ni lazima sababu iwe moja kati ya zifuatazo; vipigo vilivyokithiri, mwanandoa mmoja kukamatwa ugoni kwa zaidi ya mara 2, mwanandoa mmoja kubadilisha dini (kwa mfano mfunge ndoa ya Kikristo halafu mwanandoa mmoja awe muislamu), mwanandoa mmoja kuwa kichaa au kufungwa jela kwa zaidi ya miaka 5 n.k.
Kukosa uwezo wa kufanya mapenzi siyo sababu.
ILA, Sheria inawataka wanandoa kuhakikisha WANAJAMIIANA ule usiku wa ndoa yao isipokuwa kama kuna changamoto labda mwanamke yuko period au matatizo mengine ya kiafya. Lakini kama wote mko sawa halafu msiposhiriki tendo usiku wa ndoa yenu basi ndoa hiyo itahesabika kwamba ni batili.
Kama huyo mwanaume hana nguvu za kiume, its obvious kwamba hawakushiriki tendo usiku wa ndoa yao and therefore the institution of marriage is invalid in the eyes of law.
Mwambie anitafute mimi au akamuone Wakili amsaidie ili Mahakama iwatenganishe kwa kigezo cha kutojamiiana usiku wa ndoa yao.
Nawasilisha.
Ok pita hapa ,hasa hapo namba mbiliMkuu, nikupe tu ushauri kwamba wakati mwingine ni busara kunyamaza kimya kuliko ku-comment jambo ambalo huna hakika nalo halafu ukampotosha mtoa mada.
Kanisa halivunji ndoa ya Kikristo hata siku moja. Kinachofanyika ni kwamba ukitokea mgogoro kati ya wanandoa, jukumu la Kanisa ni kuwasuluhisha tu wanandoa hao, lakini likishindwa kuwasuluhisha litaandika Hati ambayo mwanandoa anayetaka kuachana na mwenza wake ataiambatanisha hati hiyo kwenye maombi maaalumu ya kuiomba Mahakama iwaachanishe wanandoa hao.
Lakini ili Mahakama iwaachanishe wanandoa ni lazima sababu iwe moja kati ya zifuatazo; vipigo vilivyokithiri, mwanandoa mmoja kukamatwa ugoni kwa zaidi ya mara 2, mwanandoa mmoja kubadilisha dini (kwa mfano mfunge ndoa ya Kikristo halafu mwanandoa mmoja awe muislamu), mwanandoa mmoja kuwa kichaa au kufungwa jela kwa zaidi ya miaka 5 n.k.
Kukosa uwezo wa kufanya mapenzi siyo sababu.
ILA, Sheria inawataka wanandoa kuhakikisha WANAJAMIIANA ule usiku wa ndoa yao isipokuwa kama kuna changamoto labda mwanamke yuko period au matatizo mengine ya kiafya. Lakini kama wote mko sawa halafu msiposhiriki tendo usiku wa ndoa yenu basi ndoa hiyo itahesabika kwamba ni batili.
Kama huyo mwanaume hana nguvu za kiume, its obvious kwamba hawakushiriki tendo usiku wa ndoa yao and therefore the institution of marriage is invalid in the eyes of law.
Mwambie anitafute mimi au akamuone Wakili amsaidie ili Mahakama iwatenganishe kwa kigezo cha kutojamiiana usiku wa ndoa yao.
Nawasilisha.
Asante ndugu kwa ushauriOk kuhusu hizi sababu hasa namba 2 hapa chini unasemaje ?
Ok pita hapa ,hasa hapo namba mbili
Maana halisi ya ndoa ni k na m kuungana kunako jotoWalifunga ndoa kanisani? Aende kwa mchungaji atoe lalamiko lake,ndoa inavunjwa fasta ,kama kweli jamaa jogoo hawiki, bila jogoo kuwika hakuna ndoa hapo
Sio nimeoa, mi mzee. Pia sio mkatoliki ila ndoa ya kikristo huvunjwa kwa kosa moja tu la uzinziNdugu umeoa? Ulipitia mafunzo ya kanisa hasa katoliki?
Mkuu, relax kwanza. Take a glass of water ndio u-comment.Sijui kiingereza kweli, lakini
Umeona Ulichokua umekiandika mwanzo na ulicho ki quote tena?
Km sio mkatoliki sawa ndio maana huna jibu la uwa hakika, sasa km hujui vzr kiti kaa kimya ujifunzeSio nimeoa, mi mzee. Pia sio mkatoliki ila ndoa ya kikristo huvunjwa kwa kosa moja tu la uzinzi
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
SwadaktaMaana halisi ya ndoa ni k na m kuungana kunako joto
Acha kiherehere na ndoa za watu Mbwa wewe,si upambane na msalaba wako,uache msalaba wa mdogo wako aubebe,kwani siku zote alikua wapi mpaka anaenda kutambulishwa,mahari,mpaka kuwekwa ndani....au ndio alikua anamnyima?Ndio kaka natamani hata nimtoloshe maana ninapo ishi kunaumbar
Ni Malaya huyo mwanamkeInaonesha huyo muolewaji mwenyewe ni mcharuko sana yaani miezi miwili tu baada ya kutoka kwa bwanaake tayari ana mchumba wa kumuoa.
Ungemuuliza mchungaji wakati anawapa kiapo na ahadi ya ndoa: kipengele cha katika shida na raha,katika afya na ugonjwa, katika umasikini na utajiri: hadi kifo kiwatenganishe! kahitimisha na kusema alichokiunganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe palepale angenyoosha kidole kabla hajasaign kale ka-shahada. Nashauri aendelee na ndoa wamwombe Mungu,pia waone wataalam wa afya kila kitu kitakaa sawa ni mapema sanaHabari ndugu zangu, naishi Kigoma, nina lafiki yangu wa kike alifunga ndoa na mwanaume mmoja hivi toka wameona mwanaume hajawahi kushiriki tendo la ndoa na hana uwezo kabisa.
Wameishi miezi 3, hali hiyo imefanya binti arudi kwao. Kwa sasa anamiezi 2 na amepata mchumba mwingine, je, anawezaje kuvunja ndoa?
Naomba ushauri wapendwa.