Msaada: Jinsi ya kuvunja ndoa ya kikristo

Msaada: Jinsi ya kuvunja ndoa ya kikristo

Habari ndugu zangu, naishi Kigoma, nina lafiki yangu wa kike alifunga ndoa na mwanaume mmoja hivi toka wameona mwanaume hajawahi kushiriki tendo la ndoa na hana uwezo kabisa.

Wameishi miezi 3, hali hiyo imefanya binti arudi kwao. Kwa sasa anamiezi 2 na amepata mchumba mwingine, je, anawezaje kuvunja ndoa?

Naomba ushauri wapendwa.
Ndoa ya kikristo huwa haivunjjiki mpaka kifo. Kwa hiyo, jibu jepesi kwa swali/hoja yako uliyouliza ni kwamba, mmoja wenu anatakiwa kujiua au kujinyonga ili kuvunja ndoa hiyo na kumwacha huru mwenzake aliyebaki hai.
 
Sa mbona unasema we mdogo wako na nini!
Ila wala hakuna shida huyo sio mke wa mtu!
AEND KANISANI!
akathibitishe hilo swala ndoa inavunjwa.
AU AENDE MAHAKAMANI!
Aanzie baraza la kata!
SABABU ZA KUVUNJA NDOA NI Hiyo!
Inatosha kabisa!
Asante ndugu kwa ushauri nita mwambia
 
Habari ndugu zangu, naishi Kigoma, nina lafiki yangu wa kike alifunga ndoa na mwanaume mmoja hivi toka wameona mwanaume hajawahi kushiriki tendo la ndoa na hana uwezo kabisa.

Wameishi miezi 3, hali hiyo imefanya binti arudi kwao. Kwa sasa anamiezi 2 na amepata mchumba mwingine, je, anawezaje kuvunja ndoa?

Naomba ushauri wapendwa.
wewe ndio mchumba mpya wa huyo mwanamke una force ndoa ivunjwe jitathimini sana mke wa mtu ni sumu uko kigoma ni hatari utapigwa radi ufe ooh.
Halafu umejuaje mambo ya chumbani kama jamaa jogoo hapandi mtungi?
 
Ndoa ya kikristu ni balaa wakifuata utaratibu awatafute watu wote waliohudhuria siku ya ndoa wote waje kama walivyokuwa wamevaa kama walikuwa wajawazito waje na mimba zao.
Huu utaratibu ulisimulia bar gani?
 
Habari ndugu zangu, naishi Kigoma, nina lafiki yangu wa kike alifunga ndoa na mwanaume mmoja hivi toka wameona mwanaume hajawahi kushiriki tendo la ndoa na hana uwezo kabisa.

Wameishi miezi 3, hali hiyo imefanya binti arudi kwao. Kwa sasa anamiezi 2 na amepata mchumba mwingine, je, anawezaje kuvunja ndoa?

Naomba ushauri wapendwa.
Apate uthibitisho wa kitabibu kuwa hajaingiliwa na mumewe.

Na iwapo mume kuna uthibitisho wa kitabibu kuwa hana uwezo wa kumuingilia mkewe wa ndoa basi hapo mke wala hafungwi na kiapo chochote cha ndoa.

Aende kuolewa na mwingine bila hofu. Kikubwa akathibitishe mahakamani kuwa mumewe ni gunya yaani hadindishi
 
Habari ndugu zangu, naishi Kigoma, nina lafiki yangu wa kike alifunga ndoa na mwanaume mmoja hivi toka wameona mwanaume hajawahi kushiriki tendo la ndoa na hana uwezo kabisa.

Wameishi miezi 3, hali hiyo imefanya binti arudi kwao. Kwa sasa anamiezi 2 na amepata mchumba mwingine, je, anawezaje kuvunja ndoa?

Naomba ushauri wapendwa.
Aende kanisani alipofungia ndoa apeleke malalamiko, then watamuandikia barua kwenda mahakamani, 1 Wakorintho 7:3-4
 
Habari ndugu zangu, naishi Kigoma, nina lafiki yangu wa kike alifunga ndoa na mwanaume mmoja hivi toka wameona mwanaume hajawahi kushiriki tendo la ndoa na hana uwezo kabisa.

Wameishi miezi 3, hali hiyo imefanya binti arudi kwao. Kwa sasa anamiezi 2 na amepata mchumba mwingine, je, anawezaje kuvunja ndoa?

Naomba ushauri wapendwa.
Kama jamaa jogoo hawiki hiyo ndoa imesha vunjika kidini na kisheria.



Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Subiri jamaa akatae kitoa talaka,halafu demu alazimishe kuwa na huyo jama-mpya ndio utakapo jua kwa nini mapenzi na fedha ndio chanzo cha mauaji duniani.
 
Mungu amsaidie Mshkaji mwenye Mke,yuko katika Mtihani mkubwa katika maisha.

Wewe pekee angalau umemkumbuka mwana, tumwombee asije akajipiga kitanzi. Hii fedhea sio ya nchi hii, atakuwa anamsongo mkubwa wa mawazo. Wakae nae karibu sana
 
Ndoa ya kikristu ni balaa wakifuata utaratibu awatafute watu wote waliohudhuria siku ya ndoa wote waje kama walivyokuwa wamevaa kama walikuwa wajawazito waje na mimba zao.
Sio kweli
 
Ilikuwaje wakafunga ndoa huku wakiwa hawajatest kabisa mitambo ya Dowans?
 
Back
Top Bottom