900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 9,423
- 11,439
huyo aliyeleta wazo la ushauri ndo anataka kumtorosha mke wa jamaa etuKama ni kweli Ndoa ivunjwe hamna jinsi.
huyo aliyeleta wazo la ushauri ndo anataka kumtorosha mke wa jamaa etuKama ni kweli Ndoa ivunjwe hamna jinsi.
Inavunjika vizuri kabisa Mkuu, tembelea Mahakama zetu uone vinavyopigwa chini. Tena ndoa changa kwa kongwe.Ndoa ya kikristo huwa haivunjjiki mpaka kifo. Kwa hiyo, jibu jepesi kwa swali/hoja yako uliyouliza ni kwamba, mmoja wenu anatakiwa kujiua au kujinyonga ili kuvunja ndoa hiyo na kumwacha huru mwenzake aliyebaki hai.
Kwavile umesena neno hairuhusiwi embu tuambie hilo onyo ni chini ya sheria ipi?Haishauriwi kuingi kwenye ndoa bila kufanya vipimo muhimu vya afya kama....
1. Rubella hasa mwanamke (huchangia watoto kuzaliwa viziwi,vipofu)
2.Vinasaba
3.Thalassemia (kuna makundi ya damu mkioana mtazaa watoto wenye anemia)
4. Hali ya Afya ya Akili
5. Magonjwa ya kudumu
6. Magonjwa ya zinaa
7. Kipimo cha VVU
8. Uzazi (hapa mwanaume hupimwa uwezo wake wa kusimamisha, kiwango na wingi wa mbegu, mwanamke hupimwa kizazi coz anaweza kuingia kwenye ndoa kumbe kizazi kilishatupwa siku nyingi
9. Kundi la damu (kuna makundi ya damu hayaoani) matokeo mtayaona kwa watoto mtakao wazaa
10. Genotype (zisipoendana wewe na mwenzi wako mtazaa watoto wenye sickle cell)
11. Homa ya ini (Hepatits A,B & C) hii ni mbaya sana
Huna msaada Home boyNdoa ya kikristu ni balaa wakifuata utaratibu awatafute watu wote waliohudhuria siku ya ndoa wote waje kama walivyokuwa wamevaa kama walikuwa wajawazito waje na mimba zao.
Ni wap nimesema hairuhusiwi??... Mgeni wa JijiKwavile umesena neno hairuhusiwi embu tuambie hilo onyo ni chini ya sheria ipi?