Msaada: Jinsi ya kuvunja ndoa ya kikristo

Mar 22, 2023
23
21
Habari ndugu zangu, naishi Kigoma, nina lafiki yangu wa kike alifunga ndoa na mwanaume mmoja hivi toka wameona mwanaume hajawahi kushiriki tendo la ndoa na hana uwezo kabisa.

Wameishi miezi 3, hali hiyo imefanya binti arudi kwao. Kwa sasa anamiezi 2 na amepata mchumba mwingine, je, anawezaje kuvunja ndoa?

Naomba ushauri wapendwa.
 
Habari ndugu zangu naitwa musa naishi kigoma nina lafiki yangu wa kike alifunga ndoa na mwanaume mmoja hv toka wameona mwanaume ajawah kushiriki tendo la ndoa na hana uwezo kabisa wameishi miezi 3 hali hiyo imefanya binti aludi kwao kwa sasa anamiezi 2 naamepata mchumba mwingine anawezaje kuvunja ndoa NAOMBENI USHAURI WAPENDWA
Mwambie asilimu kwanza atumie kigezo cha kusilimu kumuacha.
 
Habari ndugu zangu naitwa musa naishi kigoma nina lafiki yangu wa kike alifunga ndoa na mwanaume mmoja hv toka wameona mwanaume ajawah kushiriki tendo la ndoa na hana uwezo kabisa wameishi miezi 3 hali hiyo imefanya binti aludi kwao kwa sasa anamiezi 2 naamepata mchumba mwingine anawezaje kuvunja ndoa NAOMBENI USHAURI WAPENDWA
Walifunga ndoa kanisani? Aende kwa mchungaji atoe lalamiko lake,ndoa inavunjwa fasta ,kama kweli jamaa jogoo hawiki, bila jogoo kuwika hakuna ndoa hapo
 
Habari ndugu zangu naitwa musa naishi kigoma nina lafiki yangu wa kike alifunga ndoa na mwanaume mmoja hv toka wameona mwanaume ajawah kushiriki tendo la ndoa na hana uwezo kabisa wameishi miezi 3 hali hiyo imefanya binti aludi kwao kwa sasa anamiezi 2 naamepata mchumba mwingine anawezaje kuvunja ndoa NAOMBENI USHAURI WAPENDWA
Ndoa ya kikristu ni balaa wakifuata utaratibu awatafute watu wote waliohudhuria siku ya ndoa wote waje kama walivyokuwa wamevaa kama walikuwa wajawazito waje na mimba zao.
 
Hiyo ndoa kuivunja ni rahisi sana

Ndoa bila tendo la ndoa ni ndoa batili.

Kama hataki mzunguko mrefu Asiende kanisani.

Aende baraza la kata. Watawasikiliza wote wawili kisha watapewa cheti cha kata. Ambacho watapeleka mahakamani na kuivunja hiyo ndoa kisheria. Ndani ya mwezi mmoja tu kila kitu kinakamilika

Kanisani watawazungusha zungusha sana
 
Hiyo ndoa kuivunja ni rahisi sana

Ndoa bila tendo la ndoa ni ndoa batili.

Kama hataki mzunguko mrefu Asiende kanisani.

Aende baraza la kata. Watawasikiliza wote wawili kisha watapewa cheti cha kata. Ambacho watapeleka mahakamani na kuivunja hiyo ndoa kisheria. Ndani ya mwezi mmoja tu kila kitu kinakamilika

Kanisani watawazungusha zungusha sana
Shida mwanaume hataki kuja kila tunapo ongea nae wala kanisan
 
Sheria ya ndoa ya Kikristo inasema hivi, “without consummation, marriage is invalid” wao wanasema “ratum sed non consummatum” yaani ndoa huwa ni batili au tuseme hakuna ndoa kabisa iwapo tendo la ndoa halikufanyika baada ya kiapo cha ndoa, yaani zile process na mbwembwe zote za kanisani.
Hapo hakuna ndoa mkuu, kama ni Mkatoliki huyo binti aende aongee na Baba Paroko atamsaidia kwa kutumia sheria ya ndoa ndani ya sheria ya kanisa yaani “code of canon law no; 1983. Hiyo ni rahisi sana ndugu, au wewe ndo unataka ukamate chuma!
 
Back
Top Bottom