Msaada: Jinsi ya kuvunja ndoa ya kikristo

Msaada: Jinsi ya kuvunja ndoa ya kikristo

Habari ndugu zangu, naishi Kigoma, nina lafiki yangu wa kike alifunga ndoa na mwanaume mmoja hivi toka wameona mwanaume hajawahi kushiriki tendo la ndoa na hana uwezo kabisa.

Wameishi miezi 3, hali hiyo imefanya binti arudi kwao. Kwa sasa anamiezi 2 na amepata mchumba mwingine, je, anawezaje kuvunja ndoa?

Naomba ushauri wapendwa.
NO CONSUMMATION THE MARRIAGE IS INVALID.
aende kanisani alikofungia ndoa, HAKUWA NA NDOA, HANA NDOA!

ila we ndo huyo mchumba mwingine!
sema fresh!
 
Unaweza kukuta hajampa style ambazo jamaa anataka, ili kitu kisimame. Huyo bibie akawatafute wale Makungwi wa Insta wamuonyeshe style tofauti tofauti, aachane na kifo cha mende.
Ni kweli, wengine hisia zao huwa ziko mbali, na zinahitaji maandalizi
 
Habari ndugu zangu, naishi Kigoma, nina lafiki yangu wa kike alifunga ndoa na mwanaume mmoja hivi toka wameona mwanaume hajawahi kushiriki tendo la ndoa na hana uwezo kabisa.

Wameishi miezi 3, hali hiyo imefanya binti arudi kwao. Kwa sasa anamiezi 2 na amepata mchumba mwingine, je, anawezaje kuvunja ndoa?

Naomba ushauri wapendwa.
Huyo mchumba mpya ashamtest mitambo?
 
Japo wangehangaika kwanza hospitalini na maombi wajue shida nn na siyo kuharakisha kukimbiana bila kujua tatizo n nini mpaka asiwike. Naamini kabla ya ndoa yawezekana alikuwa anawika ndio maana bidada akakubali kuolewa, hivyo wapambane kujua tatizo walitatue na siyo kuachana
 
Kumdhalilisha tu mwenzake, ipo siku

Japo wangehangaika kwanza hospitalini na maombi wajue shida nn na siyo kuharakisha kukimbiana bila kujua tatizo n nini mpaka asiwike. Naamini kabla ya ndoa yawezekana alikuwa anawika ndio maana bidada akakubali kuolewa, hivyo wapambane kujua tatizo walitatue na siyo kuachana
Angeweka na Maelezo ya jamaa alisema shida ni nini na ilikuwaje mpaka kafunga ndoa huku anajua ana hali hiyo. Nahisi jamaa atakuwa na upande wake ambao mtoa mada hajauweka wazi
 
Ndoa ya kikristu ni balaa wakifuata utaratibu awatafute watu wote waliohudhuria siku ya ndoa wote waje kama walivyokuwa wamevaa kama walikuwa wajawazito waje na mimba zao.
dah!
 
Ndio ila nasita kumuoa kutokana na haya mambo kabis
Sa mbona unasema we mdogo wako na nini!
Ila wala hakuna shida huyo sio mke wa mtu!
AEND KANISANI!
akathibitishe hilo swala ndoa inavunjwa.
AU AENDE MAHAKAMANI!
Aanzie baraza la kata!
SABABU ZA KUVUNJA NDOA NI Hiyo!
Inatosha kabisa!
 
Back
Top Bottom