Haishauriwi kuingi kwenye ndoa bila kufanya vipimo muhimu vya afya kama....
1. Rubella hasa mwanamke (huchangia watoto kuzaliwa viziwi,vipofu)
2.Vinasaba
3.Thalassemia (kuna makundi ya damu mkioana mtazaa watoto wenye anemia)
4. Hali ya Afya ya Akili
5. Magonjwa ya kudumu
6. Magonjwa ya zinaa
7. Kipimo cha VVU
8. Uzazi (hapa mwanaume hupimwa uwezo wake wa kusimamisha, kiwango na wingi wa mbegu, mwanamke hupimwa kizazi coz anaweza kuingia kwenye ndoa kumbe kizazi kilishatupwa siku nyingi
9. Kundi la damu (kuna makundi ya damu hayaoani) matokeo mtayaona kwa watoto mtakao wazaa
10. Genotype (zisipoendana wewe na mwenzi wako mtazaa watoto wenye sickle cell)
11. Homa ya ini (Hepatits A,B & C) hii ni mbaya sana
1. Rubella hasa mwanamke (huchangia watoto kuzaliwa viziwi,vipofu)
2.Vinasaba
3.Thalassemia (kuna makundi ya damu mkioana mtazaa watoto wenye anemia)
4. Hali ya Afya ya Akili
5. Magonjwa ya kudumu
6. Magonjwa ya zinaa
7. Kipimo cha VVU
8. Uzazi (hapa mwanaume hupimwa uwezo wake wa kusimamisha, kiwango na wingi wa mbegu, mwanamke hupimwa kizazi coz anaweza kuingia kwenye ndoa kumbe kizazi kilishatupwa siku nyingi
9. Kundi la damu (kuna makundi ya damu hayaoani) matokeo mtayaona kwa watoto mtakao wazaa
10. Genotype (zisipoendana wewe na mwenzi wako mtazaa watoto wenye sickle cell)
11. Homa ya ini (Hepatits A,B & C) hii ni mbaya sana