Habarini wanajamvi.
Sijui humu ndani kama kuna mtu amewahi kushinda ama kupata hiyo bahati ya kushinda hela au magari wanayotangaza.Na sijui dhamira yao ni nini.Zimekuwa 'too much' Nani kawaambia kuwa si tunataka hizo bahati nasibu zao.
Hebu tusaidiane jinsi ya kuwablock hawa watu.Vitu vingine havina msingi kabisa ni kujaza simu tu.Yaani wanatufanya kama watoto hivi mtu upewe mamilioni au gari la bure hivi hivi tu.
Haiingii akilini hata kidogo.Waache hiyo tabia watafute namna nyingine ya watu kushiriki hizo bahati nasibu zao.
Sijui humu ndani kama kuna mtu amewahi kushinda ama kupata hiyo bahati ya kushinda hela au magari wanayotangaza.Na sijui dhamira yao ni nini.Zimekuwa 'too much' Nani kawaambia kuwa si tunataka hizo bahati nasibu zao.
Hebu tusaidiane jinsi ya kuwablock hawa watu.Vitu vingine havina msingi kabisa ni kujaza simu tu.Yaani wanatufanya kama watoto hivi mtu upewe mamilioni au gari la bure hivi hivi tu.
Haiingii akilini hata kidogo.Waache hiyo tabia watafute namna nyingine ya watu kushiriki hizo bahati nasibu zao.