Msaada: Gharama za nyumba ya vyumba viwili

Msaada: Gharama za nyumba ya vyumba viwili

Tofari 1400@1000 ni1,400,000.inabaki laki sita .fundi bado,mchanga bado,kokoto bado,mbao bado,nondo bado,maji bado bati bado,misumari bado,kuchimba msingi bado,madirisha na milango bado ,fundi hajaiba kidogo.Labda ujenge mbavu za umbwa.
ni nyumba ya vyumba viwil tu mkuu sidhan kama zitaingia tofar zote izo
 
wakuu jamani. Tofali za vyumba 2 ni kma
tofali 600 sawa na 600,000
mchanga lori moja 120,000
kokoto 120,000
cement 20 = 280,000
nondo 15=300,000
misumari = 20, 000
mbao kukodi za linter =40,000
fundi = 350,000
Maji =100,000
Jumla =1,930,000

then Mbao 2*2 = 24*4000
mbao 4*2= 24*7000
Bati= bando moja = 285,000
Fundi = 200,000
Misumari = 50,000
hii imependeza kijana anaweza kulala, madirisha na milango anajiongeza mwenyewe.
 
wakuu jamani. Tofali za vyumba 2 ni kma
tofali 600 sawa na 600,000
mchanga lori moja 120,000
kokoto 120,000
cement 20 = 280,000
nondo 15=300,000
misumari = 20, 000
mbao kukodi za linter =40,000
fundi = 350,000
Maji =100,000
Jumla =1,930,000

then Mbao 2*2 = 24*4000
mbao 4*2= 24*7000
Bati= bando moja = 285,000
Fundi = 200,000
Misumari = 50,000
Hata kama ni hivyo,mbona bajeti yake ishazidi? kwa Mbezi na goba,msingi lazima ule tofari Mia tano.Kokoto za 120,000 hata Shimo la choo hazitoshi,lazima uchukue Lori zima laki mbili na nusu.Nyumba haiendi kwa haraka,jambo zuri huyu ndugu atafute ramani na fundi achimbe msingi aanze atakapoishia apumzike akijikusanya tena aendeleze,wazo la kuhamia aliweke pending vinginevyo ataishia walipoishia Barcelona na Roma.
 
Unajenga inatemegemea unataka iwe na ubora gani...achana na wanaokukatisha tamaa.

Kuna mambo mengine haitaji majibu mepesi km haya unayotoa. Hakuna mtu anayemkatisha tamaa bali ukweli ndiyo unaongelewa hapa. Km anataka kujenga nyumba yenye chumba na sebule km bafu na choo inawezekana kbsa tena na chenji inabaki ila km chumba na sebule ile nyumba anayoishi binadamu bado
Ushajiuliza maswali haya?
*Nyumba itachukua matofali mangapi?
*Cement mifuko mingapi?
*Maji
*Mchanga wa kujengea
*Hela ya kuwalipa mafundi day fundi kujenga mmoja ni 25,000-30,000, msaidizi ni 10,000-15000? Kwa mauzo tofauli mmoja ni 250-300
*Itachukua mabati mangapi?
*Hela ya kuchimbia msingi? Hii ni tofauti na ile ya mafundi wa kujenga tofali
*Kuweka vifusi ndani
*Bado plaster km atapiga (nayo inahela yake) hapa mafundi lazima uwalipe
*Mafundi wa kupiga bati nao wanahitaji hela
*kupiga floor chini
Swali
1. Hiyo 2M inatosha?
Km itatosha nakupa 2M tunaandikiana mkataba kbsa unajengee nyumba ya chumba na sebule mm nakuja kuhamia tu. Ukishindwa unabid unilipe milion 6 jumla milion 8 km usumbufu
 
unaweza japo litakuwa banda na sio nyumba ambayo inaweza kukusitiri unahitaji tofari zisizopungua 1200 vyatua mwenyewe kwa kila mfuko tofari 40 unaweza ukagushi mpaka 45 ila maji mengi baada ya kuzivyatua na pia unapojenga saruji iwe kali. mifuko 30 ya cement itahitajika amboyo ni sawa na 360,000/-
utahitaji lory tano za mchanga wastani wa lory moja 120,000/- sawa na 600,000/-
nondo mbili mm12 sina uhakika na bei lakini inaweza kuwa 40,000/-
saruji ya kujengea kila tofari 60 mfuko mmjoa mifuko 20 sawa na 240,000/-
malango weka wa bati kwa dharura na madilisha weka kwanza wa mbao rahisi kila dirisha 30,000 madilisha manne 120,000/-
kitu bati bwana! weka bati la mstaafu gaji 30 au 32 kama zipo kila bati ukizunguka vizuri linaweza kuwa 8000/- unahitaji baji kama 30 sawa 240,000/-
mbao tenga 200,000/-
inabaki laki mbili fundi zinamfaa kabisa mpaka kuezeka.

sasa mafundi karibuni kwa data sahihi ila kwa kifupi unaweza kukamilisha kwa zaidi ya asilimia 75.
Bado zege mkuu
 
Kuna mambo mengine haitaji majibu mepesi km haya unayotoa. Hakuna mtu anayemkatisha tamaa bali ukweli ndiyo unaongelewa hapa. Km anataka kujenga nyumba yenye chumba na sebule km bafu na choo inawezekana kbsa tena na chenji inabaki ila km chumba na sebule ile nyumba anayoishi binadamu bado
Ushajiuliza maswali haya?
*Nyumba itachukua matofali mangapi?
*Cement mifuko mingapi?
*Maji
*Hela ya kuwalipa mafundi day fundi kujenga mmoja ni 25,000-30,000, msaidizi ni 10,000-15000? Kwa mauzo tofauli mmoja ni 250-300
*Itachukua mabati mangapi?
*Hela ya kuchimbia msingi? Hii ni tofauti na ile ya mafundi
Swali
1. Hiyo 2M inatosha?
Haitoshi hata chumba kimoja labda awe fundi yeye mwenyewe.
 
nataka nyumba ya kawaida tu chumba na subure kama iz tunazopanga mjin
Kama kiwanja ni tambarare, kwa makisio ni kama ifuatavyo;
1. Tofali 1,260 X 1,200
2. Cement 50 X 14,500
3. Mchanga lori 5 X 70,000
4. Kokoto lori 2 X 140,000
5. Nondo 12
6. Maji pipa 70
7. Fundi ongea nae kiswahili kirefu

Nina uhakika kwa vitu hivyo vyumba viwili vinasimama, kwenye paa sasa ndo sijajua bado kukisia; bei ni za zamani kidogo.
 
Back
Top Bottom