Mkuu unajenga na chenji inabaki.
-Chumba na sebule ni tofali 800 tu. = 800,000/=
-Bati 15 = 150,000/=
-Cement Mifuko 10 = 140,000/=
-Ufundi 270,000/= Msingi hadi Juu
-Linta Nondo 6 na Mifuko miwili ya cement Kokoto Viroba 12,Mchanga Yebo moja = 182,000/=(120K+12k+50k)
-Mbao 20(4x2 and 2x2) + Misumali =150,000/=
-Mlango m1 na madirisha matatu = (150k +50k x3 ) =300,000/=
Total ni 1,992,000/=
Hayo ni Mahesabu Maximum sana,Kuna vitu unaweza kupunguza kwenye bei ya mlango,dirisha au kwenye bati unaweza ukanunua zile za reject ambazo nzuri kwa 6000 na sio kwa elfu 10.
Kwenye ufundi mnaweza mkabargain kwa tofali mie nimeweka 250 kuna mafundi wa kitaani hadi 200 kwa tofali.