Msaada gharama za kuanza clinic

Msaada gharama za kuanza clinic

Hili la mwenza umenikumbusha mbali sana,hii hospital ya Yombo wanakupigia simu kabisa mwanaume,basi mimi baada ya kupokea simu yao nikaanza kuongea KIHINDI mwenyewe alikata simu yule Nesi
 
Hili la mwenza umenikumbusha mbali sana,hii hospital ya Yombo wanakupigia simu kabisa mwanaume,basi mimi baada ya kupokea simu yao nikaanza kuongea KIHINDI mwenyewe alikata simu yule Nesi
Umenichekesha sana😅
 
Gharama za kuanza clinic kwa mjamzito ni sh ngapi kwa dar na nkienda bila mwenza ntapokelewa?

NB mwenza wangu alienda Congo hajrudi huu mwezi wa 5😭
Bei Ni sawa na Bure kwa hospital za serikali, nenda na mume wa kukodi utahudumiwa haraka zaidi.
 
Mkuu naomba uongee uhalisia acha kumpotosha dada hapa hakuna hospital ya bure kuanza clinic na kama ipo basi naomba muelekeze dada yetu ili aweze kuanza clinic maana amechelewa sana kuanza miezi mitano ni mingi sana labda kama ni mimba yake ya pili au tatu labda atakuwa na uzoefu kidogo lakini kila mimba inakuja na changamoto zake.
Kwenye hospitali za serikali, vituo vya afya na zahanati huduma kwa wamama wanaoenda kuanza kliniki ni bure! Hayo malipo yameanza lini? Mimi naongea kupitia uzoefu.
 
Sio kweli jaribu kuulizia ilikuwa ivo zaman
Zahanati, Vituo vya afya na Hospitali zote za serikali! Huduma kwa wamama wajawazito zinatolewa bure. Hayo malipo yameanza lini?
 
Mdogo wako ana mimba na unahudumia wewe?
Ndio namhudumia mm mkuu amemaliza chuo mwaka juzi lakini hakupata ajira ila mwaka huu akapewa mimba na huyo mchumba wake waliokutana chuoni SUA na wote bado hawajaajiriwa kwa hiyo dogo nikamleta dar aje kujisikilizia mpaka ajifungue na kazi/biashara aliyokuwa anaifanya yy mkoani Lindi ya kuuza spare za pikipiki na kusimamia mashamba ya korosho ndio anauza/anafanya huyo mchumba wake huku wakiendelea kuomba hizo Ajira zao huko Ajira portal naamini M/mungu atawasaidia watapata hitaji la moyo wao.
 
Hili la mwenza umenikumbusha mbali sana,hii hospital ya Yombo wanakupigia simu kabisa mwanaume,basi mimi baada ya kupokea simu yao nikaanza kuongea KIHINDI mwenyewe alikata simu yule Nesi
Ww sema tu ulikimbia kupima damu😀
 
Nipo tayari kujitolea kwenda na wewe clinic ili manesi wasikuseme sana
Nami naungana na wewe kwenye hili. Akihitaji huduma ya usindikizaji, nipo. Vinginevyo manesi watamsema sana.
 
Gharama za kuanza clinic kwa mjamzito ni sh ngapi kwa dar na nkienda bila mwenza ntapokelewa?

NB mwenza wangu alienda Congo hajrudi huu mwezi wa 5😭
We nenda ukishindwa kulipia ni dm nitakulipia clinic MPAKA unajifungua, nenda clinic isiyozidi 50k. NB kama utanidamganya nitajua nini Cha kufanya
 
Zahanati, Vituo vya afya na Hospitali zote za serikali! Huduma kwa wamama wajawazito zinatolewa bure. Hayo malipo yameanza lini?
Mkuu naomba mtajie hiyo hospital ya bure ili dada kesho akaanze clinic mbona unapenda sana kubishana mkuu wakati ss tunakwambia uhalisia wa maisha jinsi yalivyo huku kwa ground.
 
Kwa hiyo mimba Ina miezi 5 hujaanza clinic? Bulafakini ngojea ukazae ngukuroto
 
Back
Top Bottom