Msaada gharama za kuanza clinic

Msaada gharama za kuanza clinic

Ndio namhudumia mm mkuu amemaliza chuo mwaka juzi lakini hakupata ajira ila mwaka huu akapewa mimba na huyo mchumba wake waliokutana chuoni SUA na wote bado hawajaajiriwa kwa hiyo dogo nikamleta dar aje kujisikilizia mpaka ajifungue na kazi/biashara aliyokuwa anaifanya yy mkoani Lindi ya kuuza spare za pikipiki na kusimamia mashamba ya korosho ndio anauza/anafanya huyo mchumba wake huku wakiendelea kuomba hizo Ajira zao huko Ajira portal naamini M/mungu atawasaidia watapata hitaji la moyo wao.
Kitendo cha mwana kumpiga mbupu dada yako, na kukupa msala wa kulea mimba, huku yeye akiendelea kupiga mbupu mademu wengine, na baadaye akipata mchongo aanze kukudharau ni cha kibwege sana.
 
Umeanza kuuliza maswali ya kipuuzi. Ninakuwa vipi mwanamke sasa! Uliposema jamaa aliyekutundika hiyo mimba yuko Congo, angekuwepo halafu akakupeleka huko hospitali kwa ajili ya kuanza kliniki angekuwa ni mwanamke?
Naona huyo binti anaanza kuweweseka mkuu. Msamehe.
 
Umeanza kuuliza maswali ya kipuuzi. Ninakuwa vipi mwanamke sasa! Uliposema jamaa aliyekutundika hiyo mimba yuko Congo, angekuwepo halafu akakupeleka huko hospitali kwa ajili ya kuanza kliniki angekuwa ni mwanamke?
Nimeuliza ivo ili nijue jinsia yako kwanza maana umekomalia clinic bure kitu ambacho sio kweli na kuna mdau kaakwambia nitajie hiyo clinic ya bure iko hospital gani umekaa kimya
Kama ww b mwanamke basi ulishaacha zamani kuzaa kama ni mwanaume pia hivo hivo
Ila nisamehe nilipokukwaza mm binadamu
 
Gharama za kuanza clinic kwa mjamzito ni sh ngapi kwa dar na nkienda bila mwenza ntapokelewa?

NB mwenza wangu alienda Congo hajrudi huu mwezi wa 5😭
Bila shaka mwanajeifu kashapita kimasiharaaa
 
Wengine wanasema 30 wengine 50 sijui nitoe lipi naomba kwa anayejua hospital ambayo clinic haivuki elfu 30 anambie mimi 50 sina kwakweli wakina mama nisaidie hospital ya bei nafuu
Me nilikwambia pambana uanze kulipwa hapa jeifu
 
Kitendo cha mwana kumpiga mbupu dada yako, na kukupa msala wa kulea mimba, huku yeye akiendelea kupiga mbupu mademu wengine, na baadaye akipata mchongo aanze kukudharau ni cha kibwege sana.
Mkuu punguza ukali wa maneno ila ujumbe wako nimeupata asante kwa ushauri wako.
 
Halafu kuna wasee flani huko wameifungia jf,,badala ya kuboresha walau huduma muhimu km hizi,, yani hili libibi ni lishetani
 
Mkuu punguza ukali wa maneno ila ujumbe wako nimeupata asante kwa ushauri wako.
Ukweli lazima usemwe mkuu. Kuna baadhi ya ndugu wana shukrani za punda. Wanaweza kummanipulate hata dada yako akaja kukuona ndezi pindi mambo yake yakiwa sawa.
 
Gharama za kuanza clinic kwa mjamzito ni sh ngapi kwa dar na nkienda bila mwenza ntapokelewa?

NB mwenza wangu alienda Congo hajrudi huu mwezi wa 5
Vipimo hapo vya kwanza vinaweza kugharimu zaidi ya 50000.
 
Back
Top Bottom