Msaada gharama za kuanza clinic

Msaada gharama za kuanza clinic

Pole sana mkuu, na nakutakia kila la kheri
 
Wengine wanasema 30 wengine 50 sijui nitoe lipi naomba kwa anayejua hospital ambayo clinic haivuki elfu 30 anambie mimi 50 sina kwakweli wakina mama nisaidie hospital ya bei nafuu
Nenda hospital ya serikali muone afisa ustawi wa jamii utapata huduma bure. Upo mkoa gani?
 
Back
Top Bottom