Msaada gharama za kuanza clinic

Msaada gharama za kuanza clinic

Hivi clinic ya ujauzito siku hizi unatakiwa kulipa???🙄🙄🙄
Aaah, baada ya kupandishwa mafuso wakati wa kampeni ulidhani zile ngonjera ni kweli.

Jokes aside, gharama za afya ni kubwa na ngumu sana serikali ya nchi masikini kugharamia zote. Inachofanya inapunguza kiasi ili kuchangia mzigo baina ya wabebesha mimba na serikali. La sivyo, hizi banana republics ukisema zaeni bure kabisa kabisa watazaa watoto 20 mwisho wa siku serikali iwe inajenga shule tu kila mwaka na ilipe walimu hela iishe.
 
Ndio hvyo kaka.mm nakaa na mdogo wangu alianza clinic nilimpa elfu 40 baada ya hapo nikawa nampa elfu kumi kila mwezi akienda clinic ila kipindi cha Magufuli mke wangu alianza clinic bure kabisa mimba zake zote mbili.
Mdogo wako ana mimba na unahudumia wewe?
 
Back
Top Bottom