Unit moja ni lita 1,000, bei inategemea muuzaji ni nani. Wapo wauzaji wengi mfano serikali, watu binafsi na wengine wanauza maji baridi, pambanua shida yako.Habari zenu!
Hivi unit moja ya maji ni sawa na ndoo ngapi za maji? Na bei ya unit moja ni shngap? Nisaidieni nahisi napigwa huku na mwenye nyumba.
Lita 1000 za ujazo=uniti 1.Habari zenu!
Hivi unit moja ya maji ni sawa na ndoo ngapi za maji? Na bei ya unit moja ni shngap? Nisaidieni nahisi napigwa huku na mwenye nyumba.
Ndoo za Litre 10 au 20?1000 ndoo hamsini
Ndoo za Litre 10 au 20?
Okay, Shukran
karibuOkay, Shukran
Taja bei ya unit moja ni shilingi ngapi halafu ufunge naona umepata kazi ofisi ya msaidizi wa Mr. MelloUzi ufungwe mleta mada ameshapata jibu