Mchanganuo wa gharama ya kulima ekari moja ya mahindi

Molembe

JF-Expert Member
Dec 25, 2012
9,821
11,527
Huu hapa ni mchanganuo wa kulima ekari moja ya mahindi kwa sasa hivi
1. Kukodi shamba ekari 1 - 70,000/-
2. Kulima shamba mara 2 - 60,000/-
3. Mbegu pakiti 6 sawa kg 12 - 72,000/-
4. Kupanda mahindi - 30,000/-
5. Mbolea 2 - 140,000/-
6. Palizi 2 - 60,000/-
7. Kuweka mbolea - 30,000/-
8. Kuvuna/kupukuchua/mifuko - 100,0000/-

Jumla ya gharama huwa ni 550,000/- ~ 600,000/-

Mavuno
Mara nyingi mavuno hutegemea ubora wa ardhi na matunzo ya mazuri ya mazao, lakini mara nyingi ekari moja ya mahindi hutoa gunia 15 ~ 25, sasa ukipata kiwango cha chini gunia 15 ukauza kwa bei ya sasa 80,000/- unapata Tsh 1,200,000/- faida ya Tsh 600,000 kwa ekari.
 
Huu hapa ni mchanganuo wa kulima ekari moja ya mahindi kwa sasa hivi
1.kukodi shamba ekari 1=70,000/-
2.Kulima shamba mara 2=60,000/-
3. Mbegu pakiti 6 sawa kg 12=72,000/-
4.kupanda mahindi =30,000/-
5. Mbolea 2 = 140,000/-
6. Palizi 2 = 60,000/-
7. kuweka mbolea 30,000/-
8. Kuvuna/ kupukuchua/mifuko =100,0000/-
Jumla ya gharama huwa ni 550,000/-~600,000

Mavuno
Mara nyingi mavuno hutegemea ubora wa ardhi na matunzo ya mazuri ya mazao lakini mara nyingi ekari moja ya mahindi hutoa gunia 15~25, sasa ukipata kiwango cha chini gunia 15 ukauza kwa bei ya sasa 80,000/- unapata Tsh 1,200,000/- faida ya Tsh 600,000 kwa ekari.
Safi hio ni specific kwa eneo gani na wilaya ipi?
 
Mchanganuo mzur kabsa ingawa hiyoo n maximum calculator...lzm vbarua uwalalie kidogo ku minimize cost of running...
 
Kwa huku niliko, nimekodi ekari 3 Tsh 80,000/
Palizi ya kwanza kila ekari Tsh 21000 mara 3 63000

Ya pili napiga dawa ya magugu 25 kila ekari pamoja na mpigaji.

25000×3= 75000
Mbegu 30 Kg kila kg 10 ni 70000 jumla 210,000/
Kuvuna kila ekari ni 15000 mara 3 45000

Kupiga kila gunia 1000,
Watani gunia 60, so 60,000.

Mbolea mifuko 9 *70000

80000+65000+75000+210000+45000+630000
Total 115000, naongeza laki dharura. So 1,205,000.

Minimum bei ni 50k mara 60 ni 3M.
 
kukodi shamba ekari 1=70,000/-
2.Kulima shamba mara 2=60,000/-
3. Mbegu pakiti 6 sawa kg 12=72,000/-
4.kupanda mahindi =30,000/-
5. Mbolea 2 = 140,000/-
6. Palizi 2 = 60,000/-
7. kuweka mbolea 30,000/-
8. Kuvuna/ kupukuchua/mifuko =100,0000/-
Jumla ya gharama huwa ni 550,000/-~600,000
Kwa mazingira nlotoka
Kukodi ekar 1 =150k
Mbegu mahindi pakiti Moja =12k
Kulima ekari moja trekta =45k
Mbolea 120k
Palizi 2 50k
 
Huu hapa ni mchanganuo wa kulima ekari moja ya mahindi kwa sasa hivi
1.kukodi shamba ekari 1=70,000/-
2.Kulima shamba mara 2=60,000/-
3. Mbegu pakiti 6 sawa kg 12=72,000/-
4.kupanda mahindi =30,000/-
5. Mbolea 2 = 140,000/-
6. Palizi 2 = 60,000/-
7. kuweka mbolea 30,000/-
8. Kuvuna/ kupukuchua/mifuko =100,0000/-
Jumla ya gharama huwa ni 550,000/-~600,000

Mavuno
Mara nyingi mavuno hutegemea ubora wa ardhi na matunzo ya mazuri ya mazao lakini mara nyingi ekari moja ya mahindi hutoa gunia 15~25, sasa ukipata kiwango cha chini gunia 15 ukauza kwa bei ya sasa 80,000/- unapata Tsh 1,200,000/- faida ya Tsh 600,000 kwa ekari.
Ekari moja huhitaji mbegu ya mahindi kiasi gani? Ni umbali gani kutoka mche hadi mche?

Mi nilikuwa najua ni kg 4 kwa ekari.
 
Kwa huku niliko, nimekodi ekari 3 Tsh 80,000/
Palizi ya kwanza kila ekari Tsh 21000 mara 3 63000

Ya pili napiga dawa ya magugu 25 kila ekari pamoja na mpigaji.

25000×3= 75000
Mbegu 30 Kg kila kg 10 ni 70000 jumla 210,000/
Kuvuna kila ekari ni 15000 mara 3 45000

Kupiga kila gunia 1000,
Watani gunia 60, so 60,000.

Mbolea mifuko 9 *70000

80000+65000+75000+210000+45000+630000
Total 115000, naongeza laki dharura. So 1,205,000.

Minimum bei ni 50k mara 60 ni 3M.
Umekimbia mbio sana kwenye uandishi mkuu, ungeandika taratibu kidogo. Tunatamani kujifunza.
 
Huu hapa ni mchanganuo wa kulima ekari moja ya mahindi kwa sasa hivi
1.kukodi shamba ekari 1=70,000/-
2.Kulima shamba mara 2=60,000/-
3. Mbegu pakiti 6 sawa kg 12=72,000/-
4.kupanda mahindi =30,000/-
5. Mbolea 2 = 140,000/-
6. Palizi 2 = 60,000/-
7. kuweka mbolea 30,000/-
8. Kuvuna/ kupukuchua/mifuko =100,0000/-
Jumla ya gharama huwa ni 550,000/-~600,000

Mavuno
Mara nyingi mavuno hutegemea ubora wa ardhi na matunzo ya mazuri ya mazao lakini mara nyingi ekari moja ya mahindi hutoa gunia 15~25, sasa ukipata kiwango cha chini gunia 15 ukauza kwa bei ya sasa 80,000/- unapata Tsh 1,200,000/- faida ya Tsh 600,000 kwa ekari.
Ungemalizia pia hii faida ya laki 6 unaipata baada ya mda gani..

Kwangu mm ukilima chini ya ekari 10 bas faida na muda utakaotumia kupata iyo faida ni sawa na bure
 
Huu hapa ni mchanganuo wa kulima ekari moja ya mahindi kwa sasa hivi
1.kukodi shamba ekari 1=70,000/-
2.Kulima shamba mara 2=60,000/-
3. Mbegu pakiti 6 sawa kg 12=72,000/-
4.kupanda mahindi =30,000/-
5. Mbolea 2 = 140,000/-
6. Palizi 2 = 60,000/-
7. kuweka mbolea 30,000/-
8. Kuvuna/ kupukuchua/mifuko =100,0000/-
Jumla ya gharama huwa ni 550,000/-~600,000

Mavuno
Mara nyingi mavuno hutegemea ubora wa ardhi na matunzo ya mazuri ya mazao lakini mara nyingi ekari moja ya mahindi hutoa gunia 15~25, sasa ukipata kiwango cha chini gunia 15 ukauza kwa bei ya sasa 80,000/- unapata Tsh 1,200,000/- faida ya Tsh 600,000 kwa ekari.
Samahani ndugu ni mkoa gani huu naweza kupata nami eneo la kukodi ata kama ni ekari mbili huu ni mkoa gani ndugu yetu naomba nipe muongozo ndugu yangu!!
 
Kwa mazingira nlotoka
Kukodi ekar 1 =150k
Mbegu mahindi pakiti Moja =12k
Kulima ekari moja trekta =45k
Mbolea 120k
Palizi 2 50k
Ni.mkoa ganu huu ndugu yangu nahitaji hii kitu taifadhari kama hutojali share na mi zaidi maana nami nahitaji kulima ndugu yangu
 
Kwa huku niliko, nimekodi ekari 3 Tsh 80,000/
Palizi ya kwanza kila ekari Tsh 21000 mara 3 63000

Ya pili napiga dawa ya magugu 25 kila ekari pamoja na mpigaji.

25000×3= 75000
Mbegu 30 Kg kila kg 10 ni 70000 jumla 210,000/
Kuvuna kila ekari ni 15000 mara 3 45000

Kupiga kila gunia 1000,
Watani gunia 60, so 60,000.

Mbolea mifuko 9 *70000

80000+65000+75000+210000+45000+630000
Total 115000, naongeza laki dharura. So 1,205,000.

Minimum bei ni 50k mara 60 ni 3M.
Mkuu hii ni mkoa gani ambapo na mimi naweza kupata na mimi eneo la kulima!!
 
Back
Top Bottom