Nasema Uongo Ndugu Zangu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 279
- 773
Habari za hapo Moscow Urusi, mimi niko poa kabisa hapa Buza kwa Mparange.
Lengo la kukuandikia barua hii ni kuonesha masikitiko yangu kwa kile kinacho endelea hapo Ukraine.
Mimi Mrusi wa Buza niliwaaminisha watu mtaani kwangu kuwa tunaweza kuichakaza Ukraine kwa siku 3 tu kama ulivyo tuahidi.
Jirani yangu ambaye ni Mmarekani wa Buza alinibishia na akajinadi kuwa yeye na washirika wake wata ingilia kati kumsaidia adui yetu Ukraine.
Niliwaambia kuwa ikitokea hivyo basi ninavyo kujua utawapelekea moto wote ndani ya hizo hizo siku 3 na Ukraine itabaki majivu.
Sasa ndugu yako nadhalilika hapa, mbaya zaidi naona kama sahivi umeanza kupelekewa moto vibaya mno.
Naomba uniambie mimi Mrusi wa Buza nijue mapema nini kimetokea ili nijue cha kuwaambia hawa Wamarekani wa Buza.
Usisite kunijibu kupitia uzi wa KIRUSI hapa JF. Asante,
Kauli mbiu: Wapelekee Moto.
Lengo la kukuandikia barua hii ni kuonesha masikitiko yangu kwa kile kinacho endelea hapo Ukraine.
Mimi Mrusi wa Buza niliwaaminisha watu mtaani kwangu kuwa tunaweza kuichakaza Ukraine kwa siku 3 tu kama ulivyo tuahidi.
Jirani yangu ambaye ni Mmarekani wa Buza alinibishia na akajinadi kuwa yeye na washirika wake wata ingilia kati kumsaidia adui yetu Ukraine.
Niliwaambia kuwa ikitokea hivyo basi ninavyo kujua utawapelekea moto wote ndani ya hizo hizo siku 3 na Ukraine itabaki majivu.
Sasa ndugu yako nadhalilika hapa, mbaya zaidi naona kama sahivi umeanza kupelekewa moto vibaya mno.
Naomba uniambie mimi Mrusi wa Buza nijue mapema nini kimetokea ili nijue cha kuwaambia hawa Wamarekani wa Buza.
Usisite kunijibu kupitia uzi wa KIRUSI hapa JF. Asante,
Kauli mbiu: Wapelekee Moto.