Yeye huyo si ndio alikuwa mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama? jamani huku sio kujishushia credibility ya kuwa mwakilishi wa wananchi?Mbunge wa Arusha Mjini (CCM), Mhe. Mrisho Gambo ameiomba Serikali kuwarejeshea mali na fedha zilizochukuliwa katika maduka ya kubadilisha fedha kwani “wameporwa pesa zao, magari yao, hati zao za nyumba, viwanja, wamewaacha hoi-bin-taaban.”
Pia, soma:
Hata pablo pamoja na uhalifu wake wa kuuwa watu bado watu na kuwaua na madawa ya kulevya, watu hawakutaka akamatweMkiambiwa magufuli alikua jambazi sugu mnakataa kwa nini kikwete alivostaafu hakuna waliolia kuporwa mali zao kama kwa jamaa yenu
Siku ya Mwisho kila goti litapigwaNa huyu ndio alikuwa RC wa Arusha wakati huo.
Wapinzani hawako Bungeni, sasa ni lazima wao waseme ukweli mchungu hata kama ukweli huo unawagusa.
Ipo siku watakiri kuwa hata huo ubunge wao ni haramu na wenye busara watakuja kuomba radhi umma wa watanzania.
In short, Magu atakumbukwa kwa uovu mwingi na ni busara WANA-CCM wenzake au wanafamilia wake wakamuombea msamaha kwa watanzania.
Mbunge wa Arusha Mjini (CCM), Mhe. Mrisho Gambo ameiomba Serikali kuwarejeshea mali na fedha zilizochukuliwa katika maduka ya kubadilisha fedha kwani “wameporwa pesa zao, magari yao, hati zao za nyumba, viwanja, wamewaacha hoi-bin-taaban.”
Pia, soma:
- Arusha: Maduka yote ya kubadilishia fedha za kigeni(Forex) yasimamiwa na JWTZ, wananchi watakiwa kwenda Benki Kuu
- Benki Kuu (BoT), yasitisha leseni za maduka ya kubadilishia fedha za kigeni Tanzania
- Serikali ya Tanzania yasema maduka ya kubadilisha fedha yatafunguliwa baada ya uhakiki kukamilika
- Godless Lema amuomba Rais Mpya Samia Suluhu kuchunguza ofisi ya DPP na BoT
Rais wa wanyonge hakutembeza bakuli nje, alitunyonga tu sisi wa humu ndani.
Afadhali Vasco da Gama hakudhurumu Beuro de ChangeDeni la Taifa limepaa kwa zaidi ya 10Tr. Fedha za ndani my itching a$$!
WpKayafa aliharibu nchi
Allaa, washaanza kutajanaMbunge wa Arusha Mjini (CCM), Mhe. Mrisho Gambo ameiomba Serikali kuwarejeshea mali na fedha zilizochukuliwa katika maduka ya kubadilisha fedha kwani “wameporwa pesa zao, magari yao, hati zao za nyumba, viwanja, wamewaacha hoi-bin-taaban.”
Pia, soma:
- Arusha: Maduka yote ya kubadilishia fedha za kigeni(Forex) yasimamiwa na JWTZ, wananchi watakiwa kwenda Benki Kuu
- Benki Kuu (BoT), yasitisha leseni za maduka ya kubadilishia fedha za kigeni Tanzania
- Serikali ya Tanzania yasema maduka ya kubadilisha fedha yatafunguliwa baada ya uhakiki kukamilika
- Godless Lema amuomba Rais Mpya Samia Suluhu kuchunguza ofisi ya DPP na BoT
Chato
Hatari sana, kumbe Sabaya karithi kwa babaMkiambiwa magufuli alikua jambazi sugu mnakataa kwa nini kikwete alivostaafu hakuna waliolia kuporwa mali zao kama kwa jamaa yenu
Huyu Mrisho ni mnafiki,Mbunge wa Arusha Mjini (CCM), Mhe. Mrisho Gambo ameiomba Serikali kuwarejeshea mali na fedha zilizochukuliwa katika maduka ya kubadilisha fedha kwani “wameporwa pesa zao, magari yao, hati zao za nyumba, viwanja, wamewaacha hoi-bin-taaban.”
Pia, soma:
- Arusha: Maduka yote ya kubadilishia fedha za kigeni(Forex) yasimamiwa na JWTZ, wananchi watakiwa kwenda Benki Kuu
- Benki Kuu (BoT), yasitisha leseni za maduka ya kubadilishia fedha za kigeni Tanzania
- Serikali ya Tanzania yasema maduka ya kubadilisha fedha yatafunguliwa baada ya uhakiki kukamilika
- Godless Lema amuomba Rais Mpya Samia Suluhu kuchunguza ofisi ya DPP na BoT
U mrishooo huyu huyu aliyekuwa RC wa Arusha au dishi limeondolewa king'amuzi?Gambo akapimwe akili kwanza.
Hata ubunge wake kaupata kwa hisani ya Magufuli. Gambo ni miongoni mwa wanafiki wakubwa ambao hawatakiwi kabisa.
Ukimufurahia Gambo ipo siku atakugeuka na wewe. Yeye si mkweli bali ni mfuata maslahi na mjinga mkubwa.
Na huyu ndio alikuwa RC wa Arusha wakati huo.
Wapinzani hawako Bungeni, sasa ni lazima wao waseme ukweli mchungu hata kama ukweli huo unawagusa.
Ipo siku watakiri kuwa hata huo ubunge wao ni haramu na wenye busara watakuja kuomba radhi umma wa watanzania.
In short, Magu atakumbukwa kwa uovu mwingi na ni busara WANA-CCM wenzake au wanafamilia wake wakamuombea msamaha kwa watanzania.
Kwa nini hakulalamika wakati akiwa hai. Alipoyafanya wote walidai anatekeleza Ilani? Tumuache mzee yule apumzike kwa amani, ametenda makubwa kwa ajili ya taifa letu na tutamkumbuka sana! Hakuna binadamu aliyemkamilifu.