Ahaa kumbe unatambua,waganga washenzi sana wanataka watu wawe wqendelee kuwa wategemezi wao,mganga anaweza kukutupia ruhani na ruhani hilohilo akajifanya anataka kulitoaDuh! Kwahiyo mkuu, unataka kusema hapa likiisha hili atatuambia tena tatizo jingine ilimradi tuendelee kuwa wateja wake?
Dah! Hebu elezea kwa ufupi mkuu..!Mimi nimekulia mtaa mmoja na mganga wa kienyeji maarufu. Akilewa alikuwa anatupa mbinu zao za kupiga hela
Dah! Hebu elezea kwa ufupi mkuu..!
Poleni,,msisitize kaka apambane na maombi.Asante kwa kunitia moyo, sitaogopa
waganga ni waongo tena wauaji, mimi nimeambiwa kwamba nimelishwa nyama na kunyweshwa maji ya maiti, nikaambiwa nitoe hela, nikatoa wakanipa dawa kutafuna na kumeza, niliharisha siku tatu, nilipochunguza nilichopewa kumbe zilikuwa mbegu za nyonyo(castor) nimekoma kwa wagangaAhaa kumbe unatambua,waganga washenzi sana wanataka watu wawe wqendelee kuwa wategemezi wao,mganga anaweza kukutupia ruhani na ruhani hilohilo akajifanya anataka kulitoa
Ulikuwa na shida ganiwaganga ni waongo tena wauaji, mimi nimeambiwa kwamba nimelishwa nyama na kunyweshwa maji ya maiti, nikaambiwa nitoe hela, nikatoa wakanipa dawa kutafuna na kumeza, niliharisha siku tatu, nilipochunguza nilichopewa kumbe zilikuwa mbegu za nyonyo(castor) nimekoma kwa waganga
Hapa ndo mtaanza kutoa hela mpaka mchanganyikiwe ili usifeAsante sana, la kwanza alilosema ni kwamba mtu anayefanya hivyo kwa ndugu yangu ni mtu katika familia na majirani na kingine ni kwamba hao watu wapo katika chama Chao hivyo kuna sadaka mwezi wa 6 na wa 12 kama wameshindwa kwa kaka yangu wanaweza wakanitoa mimi sadaka maana mimi ndiye mtoto wa kike wa mwisho na ndiye last born😪
Kwahiyo nifanyaje sasa mkuu?Hapa ndo mtaanza kutoa hela mpaka mchanganyikiwe ili usife
Mh! Sasa kwanini amefanya hivyo kama ni kweli, ila mbona mimi naona kama hana nia mbaya maana kamsaidi kaka yangu kiasi kawa sawaHyo hirizi alikuja nayo mganga acheni ujinga
Huyo mganga wako mshenzi sana aisee pole sana mkuuwaganga ni waongo tena wauaji, mimi nimeambiwa kwamba nimelishwa nyama na kunyweshwa maji ya maiti, nikaambiwa nitoe hela, nikatoa wakanipa dawa kutafuna na kumeza, niliharisha siku tatu, nilipochunguza nilichopewa kumbe zilikuwa mbegu za nyonyo(castor) nimekoma kwa waganga
Sidhani kama atanielewa ngoja nipambane kivyanguPoleni,,msisitize kaka apambane na maombi.
Hizo ndiyo zinakuwaje mkuu?Kwa ufupi waganga wa kienyeji wanapiga hela kwa kucheza na saikolojia yako. Kwanza wanakujaza hofu kwa kukudanganya umerogwa na watu wako wa karibu.
Kisha wanaanza kukuonesha mauza uza uza ya kukujaza hofu kwa ujanja
Mfano mgonjwa na waliomsindikiza kwa mganga wataona maajabu mengi yatakayowafanya waamini ndugu yao karogwa kweli, waganga Watamfanyia practical za chemistry ambazo hajawai kuziona.. yeye atajua dawa zinafanya miujiza ndio maana anaona maajabu ya kichawi. Kumbe chemical reactions tu
Haijaona huyo mtaalamu yeye ndiyo aliniita akasema kuna tatizo na mimi naweza kukumbwa na hiyo hali au kutolewa kafaraKama kaka yako kapata nafuu familia yenu imeamua nini kuhusu wewe? Au haijaona kama na kwako kuna tatizo?
Bi mdogo tulia kama mtu haamini aachane na huuu uzi sijasahau bado nilivyokoswa koswa kufanywa ndafu miaka 30 nyumba hukoHuyu hajakaa kipesa pesa kabisa mkuu yaani wewe unanunua vifaa anakufanyia kazi yako ukishapona utampelekea tu sadaka utakayojisikia, siyo kama hao wanaotaja kiasi
Hizo ndiyo zinakuwaje mkuu?
Ilikuwaje mkuu tujuze hata kwa uchache na je ulijikwamuaje?Bi mdogo tulia kama mtu haamini aachane na huuu uzi sijasahau bado nilivyokoswa koswa kufanywa ndafu miaka 30 nyumba huko