Signoradellap
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 29,311
- 149,068
Hapana ni ya kawaida,ondoa hofu, yatapita.Unazidi kunichanganya sasa hapo duh🥲
Hapana ni ya kawaida,ondoa hofu, yatapita.Unazidi kunichanganya sasa hapo duh🥲
Unachanganyikiwa nini? Hii kama hujatunga basi mmepata mganga wa mchongo ...sio kwamba watu hawako wa kuwasaidia ila wakat mwingine uongo uongo mwingi wa humu na usanii utapeli ndio hufanya watu wapite kushoto huku wakisoma.kimya kimya ..Kuna vitu hapo hata havi make sense...eti mwezi wa 6 na 12...wamewaacha muda wote huoHapo ndiyo nachanganyikiwa kabisa yaani
Nilikuwa nimechanganyikiwa nilishndwa kukataaSasa km kukataa ungekataa pale pale kwamba mimi haya mambo siyataki na siyaamini sipo tayari kuyafanya, kuliko kukubari kisha baadae unakataa wakati kule ulishatia saini yako kwamba umekubari huoni km unajitafutia matatizo zaidi?
Nifanyaje sas mkuu nimechanganyikiwaHapana ni ya kawaida,ondoa hofu, yatapita.
Mimi mwenyewe hayo maelezo yamenichanganya mkuu siwezi kutunga haya mambo nimeambiwa mimi janaUnachanganyikiwa nini? Hii kama hujatunga basi mmepata mganga wa mchongo ...sio kwamba watu hawako wa kuwasaidia ila wakat mwingine uongo uongo mwingi wa humu na usanii utapeli ndio hufanya watu wapite kushoto huku wakisoma.kimya kimya ..Kuna vitu hapo hata havi make sense...eti mwezi wa 6 na 12...wamewaacha muda wote huo
Sipo kutangaza mkuu haya ninayoyasema ni ya ukweli kabisalipia tangazo la mganga.....
Haya uskilize kabisa hapa 😅😅Asante mkuu, ntausikiliza huo wimbo
Asante mkuu, sitaenda kuoga hiyo dawa kabisaWewe utakua una matatizo yako binafsi na hausaidiki sikia hayo makolokolo uliyopewa na huyo mganga yatie kiberiti kisha kaa sikilizia upepo yaan fanya km hujaona kitu vile na usikae unafikiria sijui kaka yangu vile kaka yangu hivi siku sio nyingi utatuletea story ya mama yako na yeye tayari wadudu washamuingia, msijishirikishe kwenye vitu msivyovifahamu kwa kina mwisho wake hua ni majuto tu
Kwahio saivi mmeamua kufanya nini ama mnafanya nini ..au ndio Bado mnanunua bidhaa za mganga?Mimi mwenyewe hayo maelezo yamenichanganya mkuu siwezi kutunga haya mambo nimeambiwa mimi jana
Duh! Mbona hii ni hatari sana aisee, ila mimi sijakabidhiwa chochote wala sijaoga hayo maji ya madawa kabisaSasa ushakubari ndio ufanye ulichoambiwa
Nitakupa kisa kimoja, kuna Mzee mmoja alikua anataka Cheo ofisi moja kubwa tu akaenda kwa Sir Ngoma akaomba afanyiwe mambo kweeli akampa vidawa dawa Mzee akaenda kufanya aalivyoambiwa ndani ya muda mambo yakaenda safi akapanda Cheo ghafla, sasa Mzee tamaa ikamuingia akawa anataka Cheo cha juu zaidi yaan hakutosheka na kile Cheo alichopanda akaenda tena Sir Ngoma akaomba afanyiwe utaratibu apande Cheo cha juu zaidi, ukweli Sir Ngoma hakukataa ila aalimwambia ili afikie hicho Cheo kuna sharti gumu inabidi alitekeleze, Mzee bila kujua alipoulizwa yupo tayari akasema yeye anataka Cheo cha Juu zaidi yupo tayari kwa sharti lolote basi Bwana Sir Ngoma akampa Sharti gumu, Mzee akaondoka kwenda kumsimulia mkewe mkewe akalifikiria lile sharti ila sababu na yeye alikua anataka mumewe awe na Cheo cha juu akakubari, shida ikaja kwenye kulitekeleza hilo sharti, hapo ndipo walipoisha wote yaan kizazi chake chote kuanzia yeye mkewe na watoto wake wote ninapoongea sasa wote ni marehemu na hio siri alikuja kuisema mkewe kabla hajafa maana yeye mkewe ndie aliekua wa mwisho kufa
Usioge, una sali??Nifanyaje sas mkuu nimechanganyikiwa
Asante sana mkuu ubarikiweHaya uskilize kabisa hapa 😅😅
View attachment 3336148
Ndiyo mkuu lazima nisali ndiyo nilaleUsioge, una sali??
Sasa ulienda kufuata nini kwa kaka yako kichaa? Na ulienda kufanya nini kwa mganga? Kichwa chako hakipo sawa?Duh! Mbona hii ni hatari sana aisee, ila mimi sijakabidhiwa chochote wala sijaoga hayo maji ya madawa kabisa
Mnanichanganya sanaSadaka itatolewa?
But that is rubbish.
Inaonyesha na wewe muhanga, iliwahi kukutokea?Huyo mganga atawapiga hela na kuwagombanisha ukooo na ndugu zenu mpaka mchoke wenyewe.
Utasikia shangazi yake kamroga, ama mama mkubwa ndie kamroga, ama ndugu fulani kamroga
Note : huyo mganga hatawaomba hela cash atawapiga hela kupitia vifaa na dawa, atawaelekeza maduka ya kununua dawa ambayo kuna matapeli wenzake.
Yaani ndugu yangu anaumwa nisiende kumuona?Sasa ulienda kufuata nini kwa kaka yako kichaa? Na ulienda kufanya nini kwa mganga? Kichwa chako hakipo sawa?
Kabla hujaenda haukua unasali ila sasa hivi ndio unasali? Hofu imekujaa mara 2 sasa unaona ulivyofungwa bila kujijua?Ndiyo mkuu lazima nisali ndiyo nilale
Wewe unanishaurije sasa mkuu mbona kama unanisema?Kabla hujaenda haukua unasali ila sasa hivi ndio unasali? Hofu imekujaa mara 2 sasa unaona ulivyofungwa bila kujijua?