MREJESHO; Wa Kaka yangu aliyechanganyikiwa

MREJESHO; Wa Kaka yangu aliyechanganyikiwa

Nenda nae kwa madaktari bingwa wa afya ya akili Muhimbili. Wakamtazame.

Achana na waganga wa kienyeji
Maelezo inaonekana dalili za schizophrenia. Nina imani hospitali wana dawa kusaidia symptoms sina uhakika kama kuna tiba.
 
Hapana. Wanasema sijui aliwahi fanyiwa operation kwenye kolodani kuziweka vizuri
Sina hakika kama inaweza kuwa sababu. Nimeuliza nijue endapo amewahi kupata majeraha kichwani.. Kutumia mihadarati kwa siri may be, au ni changamoto nyingine zaidi. Ana muda gani tangu kichwa kimsumbue na matokeo aliyonayo sasa?

Dalili zake za awali za matendo? Matendo yake sasa yapoje mkuu?
 
Sina hakika kama inaweza kuwa sababu. Nimeuliza nijue endapo amewahi kupata majeraha kichwani.. Kutumia mihadarati kwa siri may be, au ni changamoto nyingine zaidi. Ana muda gani tangu kichwa kimsumbue na matokeo aliyonayo sasa?

Dalili zake za awali za matendo? Matendo yake sasa yapoje mkuu?
Mwaka jana mwezi.wa 11 ndiyo kichws kilianza kumuuma. Sasa mwezi huu wa tano ndo amekuwa wakufunga na kamba anaona watu wanamfukuza. Mara atake kupiga watu ni yaani ni vurugu zote
 
Back
Top Bottom