Mganga anacheza na mgonjwa kwa saikolojia.Mkuu lakini alivyoanza kumtibia sasa hivi ameanza kurudi kwenye hali yake ya zamani
Mgonjwa anajiona amepona sababu ya Placebo effects.
Mganga ame mask symptoms.. kampa steroids kwa ujanja.. mfano anaweza kumpa dawa ya maji maji, kumbe hayo maji kayeyusha steroids humo ndani... Mgonjwa anajiona ana hali nzuri kumbe ujanja ujanja tu.