Sweet16
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 6,169
- 11,267
Ombeni kwa imani zenu makanisani, msikitini, ndugu yako huyo ni pombe tu zinamchanganya akiwaza hana kitu anachanganyikiwa, kuhusu wewe naimani hauna adui yeyote wala anayetaka kumuua ndugu yako.Kwahiyo nifanyaje sasa mkuu?
Hapo mganga keshaona mmemuamini ametafuta pa kuwakamatia mtoe pesa mmbaki weupe