MREJESHO; Wa Kaka yangu aliyechanganyikiwa

MREJESHO; Wa Kaka yangu aliyechanganyikiwa

Sasa kuliko kwenda kufanya hiyo dawa si ni heri nikajitakase kanisani, kwanini niende huko then baadae nianze kuhangaika kwenda kujitakasa
Hapo ni wewe kuamua unataka kufanya nini kwani mwanzo makanisa ulikua hauyaoni unayaona sasa ushajaa kitanzini ndio unaanza kulikumbuka kanisa? Fanya ulichoambiwa ufanye ili ujitoe kwenye hicho kitanzi au usifanye ulipe gharama kuzidi ile gharama uliyoingia nayo mwanzo, utaamua mwenyewe unasuka au unanyoa

Ninaposema gharama namaanisha wewe umeingia mkataba na huyo mganga tayari sasa unadaiwa kwa hio lipa deni la mganga kwa kufanya ulichoambiwa ufanye, usipolipa deni lake utalipa gharama mara 2 kwa hio kakwambia oga tope wewe oga kisha mtazame usoni acha uoga ndio unavyojitoa hivyo hofu ni adui namba moja wa maisha yako, wewe umeshajazwa hofu sasa ili kujitoa kwenye hofu fanya alichokwambia ufanye kinyume chake utakua na hofu mara 2 ya ile ya mwanzo maana unakua na viulizo vingi
 
Usitumie achana nayo. Na ukiona shida pokea wakiondoka tupa. Na usionyeshe kuwa hutumii.

Lakini jambo la muhimu ni kukaa mbali nao ila watatafuta mbinu ya kukutisha zaidi ili usiharibu ugali wao.
Asante mkuu kwa ushauri wako maana hata mimi imani za kishirikina sinaga kabisa na moyo wangu mzito kabisa kuamini na kufanya hizo dawa
 
Hapo ni wewe kuamua unataka kufanya nini kwani mwanzo makanisa ulikua hauyaoni unayaona sasa ushajaa kitanzini ndio unaanza kulikumbuka kanisa? Fanya ulichoambiwa ufanye ili ujitoe kwenye hicho kitanzi au usifanye ulipe gharama kuzidi ile gharama uliyoingia nayo mwanzo, utaamua mwenyewe unasuka au unanyoa
Mkuu mimi nimeenda nimeambiwa hayo mambo sijalazimishwa kuyafanya nimepewa tu taarifa ndipo nifanye maamuzi na niliamua kwenda kwasababu tulikuwa tunampeleka kaka yangu akamalizie tiba na hata hivyo yule mtaalamu alisema na mimi natakiwa kwenda ili anipe huo ujumbe
 
Asante sana, la kwanza alilosema ni kwamba mtu anayefanya hivyo kwa ndugu yangu ni mtu katika familia na majirani na kingine ni kwamba hao watu wapo katika chama Chao hivyo kuna sadaka mwezi wa 6 na wa 12 kama wameshindwa kwa kaka yangu wanaweza wakanitoa mimi sadaka maana mimi ndiye mtoto wa kike wa mwisho na ndiye last born😪
Ninachowashangaa hawa waganga kama kweli wanamjua huyo alofanya hichonkitendo mbona hamtaji? Hiyo kusema shangazi bila kutaja jina ni utapeli
 
Sio vitu vya kukimbilia ndio maana nikamuuliza yeye anamjua huyo kaka yake nje ndani au anamjua juu juu tu?
Ni kaka yangu tumekuwa wote hajawahi kuwa na tatizo la ukichaa kabisa ni mwaka jana na mwaka huu ndiyo limemtokea
 
Ninachowashangaa hawa waganga kama kweli wanamjua huyo alofanya hichonkitendo mbona hamtaji? Hiyo kusema shangazi bila kutaja jina ni utapeli
Hapo mimi mwenyewe ananichanganya kabisa mkuu, naona kabisa kama kuna dalili ya hatari
 
Hapana hatuna hiyo historia na kwenye hizo sadaka amesema wanatowaga mwezi wa 6 na wa 12 na kingine walitaka kumfanya kaka yangu awe kichaa hivyo moja kwa moja inasemekana, nadhani anavyoteseka wao ndiyo wanafurahia
Kwaio kilichowazuia wasikutoe wewe kafara au kaka yako , mganga wen wa mchongo akawaambia sababu ni nini
 
Si kama napinga no,yeah watu wapo kazini kutesa wenzao,


Pambaneni kumtibia nduguyo,hayo mambo yakujua ni nani kafanya ni uchonganishi,,,maana wachawi wanajivika sura.na hao waganga ni matapeli.
Unazidi kunichanganya sasa hapo duh🥲
 
Kazi zimekubana hadi unashindwa kuoga? Au mganga ndo anakuogesha mwenyewe? Mganga asije akakupitia kimasikhara
Dah! 😁😁hamna mkuu dawa ipo nyumbani ndiyo natakiwa niwe naenda kuioga hapo na mimi ninapokaa mbali na nyumbani, nikiwa naenda kila siku ntakuwa nachelewa kazini
 
Miezi ya kafara bado mkuu si umeona hapo nimeandika mwezi wa 6 na wa 12
Kama walikua na uwezo wa kukutoa kafara wangekutoa, mmemuuliza mganga wenu tangu walipokujua Hadi wakakuekea alama paji la uso sjui sasa walishindwa nini kukutoa kafara ama kaka yako kwa muda wote huo Hadi saivi awaambie kua wanatoa kafara mwezi wa 6 na wa 12 hio miezi mingine walishindwa nini
 
Kama walikua na uwezo wa kujitoa kafara wangekutoa, mmemuuliza mganga wenu tangu walipokujua Hadi wakakuekea alama paji la uso sjui sasa walishindwa nini kukutoa kafara ama kaka yako kwa muda wote huo Hadi saivi awaambie kua wanatoa kafara mwezi wa 6 na wa 12 hio miezi mingine walishindwa nini
Hapo ndiyo nachanganyikiwa kabisa yaani
 
Mkuu mimi nimeenda nimeambiwa hayo mambo sijalazimishwa kuyafanya nimepewa tu taarifa ndipo nifanye maamuzi na niliamua kwenda kwasababu tulikuwa tunampeleka kaka yangu akamalizie tiba na hata hivyo yule mtaalamu alisema na mimi natakiwa kwenda ili anipe huo ujumbe
Sasa km kukataa ungekataa pale pale kwamba mimi haya mambo siyataki na siyaamini sipo tayari kuyafanya, kuliko kukubari kisha baadae unakataa wakati kule ulishatia saini yako kwamba umekubari huoni km unajitafutia matatizo zaidi?
 
Sadaka itatolewa?
But that is rubbish.
Asante sana, la kwanza alilosema ni kwamba mtu anayefanya hivyo kwa ndugu yangu ni mtu katika familia na majirani na kingine ni kwamba hao watu wapo katika chama Chao hivyo kuna sadaka mwezi wa 6 na wa 12 kama wameshindwa kwa kaka yangu wanaweza wakanitoa mimi sadaka maana mimi ndiye mtoto wa kike wa m
 
Hapo ndiyo nachanganyikiwa kabisa yaani
Wewe utakua una matatizo yako binafsi na hausaidiki sikia hayo makolokolo uliyopewa na huyo mganga yatie kiberiti kisha kaa sikilizia upepo yaan fanya km hujaona kitu vile na usikae unafikiria sijui kaka yangu vile kaka yangu hivi siku sio nyingi utatuletea story ya mama yako na yeye tayari wadudu washamuingia, msijishirikishe kwenye vitu msivyovifahamu kwa kina mwisho wake hua ni majuto tu
 
Back
Top Bottom