Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 14,131
- 33,902
Umbea pro maxxxx baba kichanga wangu 😂 😂 😂 😆Umbea ss
Umbea pro maxxxx baba kichanga wangu 😂 😂 😂 😆Umbea ss
Hana hilo tatizo mkuu
Sawa mama, pole pia kwa ndugu yetuHuyu hajakaa kipesa pesa kabisa mkuu yaani wewe unanunua vifaa anakufanyia kazi yako ukishapona utampelekea tu sadaka utakayojisikia, siyo kama hao wanaotaja kiasi
Kuna dawa nimeambiwa nitumie for 7days atanipa after hapo ndiyo tutapewa kinga kwa pamoja na kingine alisema mimi kuna Chale nimechanjwa na hao wanachama kwenye paji la uso hapa sasa kila ninapoenda wanakuwa wananiona hao watu wabayaWHAAAAT?
Duuh mambo ya waswahili ni hatari sana, poleni jamani.
Kwahiyo wewe unafanyaje sasa ili kuepuka kutolewa sadaka?
Ungeona hali aliyokuwa nayo kaka yangu wala usingesema hivi mkuuWengi wanaamini vichaa ama watu waliochanganyikiwa ni wamerogwa.
Ukweli ni kwamba vichaa karibu vyote vinatokana na vichocheo kuyumba au kujeruhiwa kwa ubongo.
Asante sana mkuu, barikiwaPole sana Binti 😢
Sawa mama antpas😄Umbea pro maxxxx baba kichanga wangu 😂 😂 😂 😆
Chale na wewe umeziona au hazionekani kwa macho ya kawaida?Kuna dawa nimeambiwa nitumie for 7days atanipa after hapo ndiyo tutapewa kinga kwa pamoja na kingine alisema mimi kuna Chale nimechanjwa na hao wanachama kwenye paji la uso hapa sasa kila ninapoenda wanakuwa wananiona hao watu wabaya
Upo mjini Dar?Serious naomba namba ya huyo mganga ,dada
Mimi hata sioni labda ziko kimiujiza hazionekani kwa macho ya nyamaChale na wewe umeziona au hazionekani kwa macho ya kawaida?
Ukipata muda kwa utulivu kabisa SIKILIZA WIMBO WA SOLOMON MKUBWA_ MFALME WA AMANI.Asante sana, la kwanza alilosema ni kwamba mtu anayefanya hivyo kwa ndugu yangu ni mtu katika familia na majirani na kingine ni kwamba hao watu wapo katika chama Chao hivyo kuna sadaka mwezi wa 6 na wa 12 kama wameshindwa kwa kaka yangu wanaweza wakanitoa mimi sadaka maana mimi ndiye mtoto wa kike wa mwisho na ndiye last born😪
Asante mkuu, barikiwaSawa mama, pole pia kwa ndugu yetu
Asante mkuu, ntausikiliza huo wimboUkipata muda kwa utulivu kabisa SIKILIZA WIMBO WA SOLOMON MKUBWA_ MFALME WA AMANI.
HUMO KUNA MAJIBU/ JAWABU YA WATU WANAO ENDA KWA WAGANGA.
Huyo mganga ni tapeli hata hio irizi kuna watu wake aliwatuma kuificha sehemu hapo kwen...kwa haya unayoyaeleza hapa huyo mganga anawavutia pumzi awapige hela ndefu.Asante sana, la kwanza alilosema ni kwamba mtu anayefanya hivyo kwa ndugu yangu ni mtu katika familia na majirani na kingine ni kwamba hao watu wapo katika chama Chao hivyo kuna sadaka mwezi wa 6 na wa 12 kama wameshindwa kwa kaka yangu wanaweza wakanitoa mimi sadaka maana mimi ndiye mtoto wa kike wa mwisho na ndiye last born😪
Hivyo vifaa ambavyo huwa anaagiza huwa analetewa tu sisi tunanunua wenyewe lakiniHuyo mganga ni tapeli hata hio irizi kuna watu wake aliwatuma kuificha sehemu hapo kwen...kwa haya unayoyaeleza hapa huyo mganga anawavutia pumzi awapige hela ndefu.
Hilo la kukwambia hata wewe unaweza kutolewa kafara nia na madhumun ni kukutisha ili litakapokuja suala la kutoa hela uwe mwepesi kutoa.
NB: huyo mganga hatawaomba hela cash atawapiga hela kupitia vifaa
Ilikuwaje hebu tupe kidogoWaganga wagombanishi,waganga waongo,
Jinsi tuliyo yapitia kama family na hao waganga walivyotumaliza😀, mdogo wangu alikuwa nusu chizi,nusu mwendawazimu,
........................................
Sawa, pole mdogo wangu 🤗Mimi hata sioni labda ziko kimiujiza hazionekani kwa macho ya nyama
SawaHivyo vifaa ambavyo huwa anaagiza huwa analetewa tu sisi tunanunua wenyewe lakini
Tajiri na wewe uko huku unatafuta umbeya muda.unapata wapi tajiri. Tutoke magetoni tutafute pesa tuachane na hizi stori za abunuasi na umbeya.Mambo mazito? Yapi?