edon66
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 3,757
- 11,433
Unayoyasema hapa Kuna watu Wanadhani n nadhariaa kwakuwa hayajawakutaa ilaa haya mambo yapo sana watu kuchezeanaa,,,poleni Sanaa km familiaa najua mnayoyapitiaaaAsante sana, la kwanza alilosema ni kwamba mtu anayefanya hivyo kwa ndugu yangu ni mtu katika familia na majirani na kingine ni kwamba hao watu wapo katika chama Chao hivyo kuna sadaka mwezi wa 6 na wa 12 kama wameshindwa kwa kaka yangu wanaweza wakanitoa mimi sadaka maana mimi ndiye mtoto wa kike wa mwisho na ndiye last born😪