Hii imekaa kama mind game ila ngoja tuone mwisho wake.
Hata Mm naona pia.
Komradhi Jiran, ila haya ni mawazo yangu.
Ulisema kuwa alishawah ugua tena huko nyuma, na pia kama nakumbuka alikuwa pia na bodaboda nyingne.
Ulisema pia kuwa anavuta Ganja.
Na hapa katkat wakat hana pikpik alikuwa yuko vizur.
Mm nadhan alivyopata pikpik akawa na kipato alienda vuta ganja iliyochanganywa na madawa ya kulevya, na ikaharibu ubongo wake.
Kipind hayuko vizur alikuwa anavuta ya kawaida ila alivyopata ajira akawa sasa anavuta zenye madawa ambazo ni kali zaidi.
Ndugu yenu hajarogwa.
Ww pia hujarogwa achana na hizo dawa alizokupa mganga.
Mkiendelea kumtegemea huyo mtaalam huko mbele atawagombanisha na pia atawala hela.
Classmate wangu mmoja alichanganyikiwa tukiwa form 6, hapo awali O level alikuwa anavuta bangi ila alivyoingia shule za mjini A level (azania )alikutana na bang zenye madawa pale mwananyamala , Na akawa kichaa kabisa, hakumaliza Six, na sikuhizi hatujui yuko wap!