My god win
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 361
- 240
- Thread starter
- #181
Ustake niongee vibaya bureUlitaka ufe??? Bac tusema amekupuna
Ustake niongee vibaya bureUlitaka ufe??? Bac tusema amekupuna
Kwa uwezo wa Mungu sitokoma. Utakoma Wewe [emoji16][emoji16][emoji16]Na bado mleta uzi utakoma. Kudadadeki.
NdioKuna mimba ambazo sio halali?!
Sina Tatizo lolote lileNamaanisha kwamba wewe umeandika kua umeamu kua single na hauhitaji mahusiano na mwanaume, nadhani unamaanisha utaishi mwenyewe lakini katika uzi wako kuna sehemu umeandika kwamba unazidisha juhudi kumuomba Mungu ndo nakuuliza unaomba nini Mungu wakati mada yako ni kuolewa it means unamuomba Mungu akupe mume mwema by that fact kumbe hujaamua kua single isipokua unalazimika kua single kwa sababu Mungu hajakupa unayeridhika kua nae.
Kwa kusema hayo nasema bado unahitaji mume acha kutumia maneno ya kujifungia bahati kwamba umeamua kua single.
Huwezi kua single labda kama una matatizo kiafya
[emoji16][emoji16]Nitakuoa mimi this time next year
if,i repeat if uko clean.
HIV free
Asante kwa Maneno YakoKawaida kila mtu anapatwa kile anachostahili......
Unapokosa au kushindwa kufanikiwa au kufanikisha jambo fulani...katika maisha yako.....mtu wa kwanza wa kulaumiwa ni wewe....na unatakiwa ujichunguze kabla ya hujawanyooshea wengine vidole....
Kawaida....watu tunaowavuta maishani mwetu ni kutokana haiba zetu.....
Unapojizoesha kuwa na haiba nzuri...daima utavuta watu wazuri.....na unajozoeza haiba mbaya....watakuja wa kufanana nawe....
Hujanipenda?!Ndio
Imefanyajena glasi ya Wine je?
Benefit kivipi [emoji16][emoji16]Tumekuelewa
Mimi nahitaji tuwe friend with benefit we waonaje hili wazo bibie My god win
Relax my beautiful one
I am coming with biggest supplies
Ushushie hayo mamuzi yako... ushauri tuImefanyaje
papuchi,kibox manyoya,kikojoleoNyapu ndo kidude gani?
umeona sasa nendaMm ckuona tangazo lako la kutaka mume
Ungekuwa wangu tayari
Unajidanganya tu,huwezi kwenda against nature.Kwa sasa upo kwenye stress za mapenzi na upo kwenye hatari ya kuuvaa mkenge kwa kuwa tu unataka kwenda against natureHabari zenu.naomba niwashukuru kwa michango yenu wotee. Ambao mlishiriki nami kwa njia moja au nyingine, Kunishauri na kunifariji.
Maamuzi niliyochukua ni kwamba. Nimeamua kuwa single, Na Wala Sihitaji mahusiano na mwanaume yoyote kwa kipindi hiki.bali ntaongeza juhudi zaidi kumwomba MUNGU,
nisije tena dumbukia kwenye mahusiano ambayo Hayana msimamo na malengo.
ANGALIZO[emoji724]
[emoji838]Sihitaji PM ambazo zisizo na maana. Labda kwa ushauri tu na si mengineo.
[emoji120][emoji120].Asanteni.
Sawa Mungu ni mwema utapata anayekufaaSina Tatizo lolote lile
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Naww nmeshakuona utakuwa mtata sana..[emoji2] [emoji1] [emoji1]
AsanteSawa Mungu ni mwema utapata anayekufaa
All the best
Mkenge upiUnajidanganya tu,huwezi kwenda against nature.Kwa sasa upo kwenye stress za mapenzi na upo kwenye hatari ya kuuvaa mkenge kwa kuwa tu unataka kwenda against nature
Mm mgeni na hivi vitu kwa Kwelipapuchi,kibox manyoya,kikojoleo
"Maamuzi niliyochukua ni kwamba. Nimeamua kuwa single, Na Wala Sihitaji mahusiano na mwanaume yoyote"Mkenge upi