Mrejesho: Nimekata tamaa ya kuolewa

Mrejesho: Nimekata tamaa ya kuolewa

POLE KWA YALIYOKUKUTA MKUU..!

"..Sihitaji mahusiano na mwanaume yoyote kwa kipindi hiki.bali ntaongeza juhudi zaidi kumwomba MUNGU,.."
  • Kifanye kiwe kipindi cha muhimu kwako cha kujitathimini mapungufu yako katika mahusiano.. na kujirekebisha.. Ujihoji kwanini ulihitaji mahusiano na umejifunza nini kwenye mambo uliyopitia katika mahusiano.. kisha JIREKEBISHE kwa ajili ya wakati mwingine ujao.


"..nisije tena dumbukia kwenye mahusiano ambayo Hayana msimamo na malengo.."

  • usiruhusu kijiingiza katika mahusiano kwa bahati mbaya, mahusiano mazuri yanaanzia kwa mtu ambae mnafahamiana vizuri kabla ya kuingia katika mahusiano ya kimapenzi (kwa mfano URAFIKI),hapo itakuwa rahisi kupata muda ya kumtambua vizuri mtu unaempenda kabla ya kufanya maamuzi magumu. Utakuwa umeridhika kuwa unaanza mahusiano na mtu mnaeshare common interests and goals.

"..Sihitaji PM ambazo zisizo na maana.."

  • Nakutakia kila heri upokee PM zenye maana tu!

 
Mapenz ninoma sana, yaani mungu angetuonesha kila mtu wake nadhani yacngekuwa yanatokea haya yote, ila sasa tunacheza kamali atayeliwa inabidi awe mpole so dada yangu umeshaliwa!!!
 
usikate tamaa dada!
Maisha ndivyo yalivyo
Pili usiwachukie wanaume wote ukadhani ni walewale,, la hasha

Omba mungu ukujalie mme mwema na si kukata tamaa
Kumbuka NDOA NI WITO
Ni hayo tu
 
POLE KWA YALIYOKUKUTA MKUU..!

"..Sihitaji mahusiano na mwanaume yoyote kwa kipindi hiki.bali ntaongeza juhudi zaidi kumwomba MUNGU,.."
  • Kifanye kiwe kipindi cha muhimu kwako cha kujitathimini mapungufu yako katika mahusiano.. na kujirekebisha.. Ujihoji kwanini ulihitaji mahusiano na umejifunza nini kwenye mambo uliyopitia katika mahusiano.. kisha JIREKEBISHE kwa ajili ya wakati mwingine ujao.


"..nisije tena dumbukia kwenye mahusiano ambayo Hayana msimamo na malengo.."

  • usiruhusu kijiingiza katika mahusiano kwa bahati mbaya, mahusiano mazuri yanaanzia kwa mtu ambae mnafahamiana vizuri kabla ya kuingia katika mahusiano ya kimapenzi (kwa mfano URAFIKI),hapo itakuwa rahisi kupata muda ya kumtambua vizuri mtu unaempenda kabla ya kufanya maamuzi magumu. Utakuwa umeridhika kuwa unaanza mahusiano na mtu mnaeshare common interests and goals.

"..Sihitaji PM ambazo zisizo na maana.."

  • Nakutakia kila heri upokee PM zenye maana tu!

Asante
 
Mapenz ninoma sana, yaani mungu angetuonesha kila mtu wake nadhani yacngekuwa yanatokea haya yote, ila sasa tunacheza kamali atayeliwa inabidi awe mpole so dada yangu umeshaliwa!!!
Kama nimeliwa Mbona napumua??
 
Back
Top Bottom