Mrejesho: Nimekata tamaa ya kuolewa

Mrejesho: Nimekata tamaa ya kuolewa

Habari zenu.naomba niwashukuru kwa michango yenu wotee. Ambao mlishiriki nami kwa njia moja au nyingine, Kunishauri na kunifariji.

Maamuzi niliyochukua ni kwamba. Nimeamua kuwa single, Na Wala Sihitaji mahusiano na mwanaume yoyote kwa kipindi hiki.bali ntaongeza juhudi zaidi kumwomba MUNGU,

nisije tena dumbukia kwenye mahusiano ambayo Hayana msimamo na malengo.

ANGALIZO[emoji724]

[emoji838]Sihitaji PM ambazo zisizo na maana. Labda kwa ushauri tu na si mengineo.

[emoji120][emoji120].Asanteni.

Mm pia natafuta mchumba!
Ni PM tuongee tunaweza kubaliana tukapiga hatua zaidi!
 
Avatar yako inaelezea kila kitu kuhusu wewe Na ndoa.Ndoto yako NI kuwa Mke wa fulani Nina watoto wawili wakiume Na wakike.Wakike anasema Shule ya kimataifa Na wakiume anasoma Kiingereza.Mme Wangu NI maneja wa bank Na hatuishi Uswazi blah blah.
Mapenzi NI kama kipepeo ukikifata kinakukimbia Na ukitulia kina kuja usoni.puani,masikioni Na kila sehemu.Mapenzi lazima uwe Na subira sio unavyo taka wewe basi ndio hivyo
Kila la kheri
 
samahani kwa swali hili.
HIVI ULIWAHI KATAA MARA NGAPI MAUA KWA KUSEMA WE SIYO NYUKI ?
 
Habari zenu.naomba niwashukuru kwa michango yenu wotee. Ambao mlishiriki nami kwa njia moja au nyingine, Kunishauri na kunifariji.

Maamuzi niliyochukua ni kwamba. Nimeamua kuwa single, Na Wala Sihitaji mahusiano na mwanaume yoyote kwa kipindi hiki.bali ntaongeza juhudi zaidi kumwomba MUNGU,

nisije tena dumbukia kwenye mahusiano ambayo Hayana msimamo na malengo.

ANGALIZO[emoji724]

[emoji838]Sihitaji PM ambazo zisizo na maana. Labda kwa ushauri tu na si mengineo.

[emoji120][emoji120].Asanteni.
Endelea kusema all men are players huenda ukaolewa na kocha
 
Tuliza akiri utapata mwingine kuteleza si kuanguka
 
"Maamuzi niliyochukua ni kwamba. Nimeamua kuwa single, Na Wala Sihitaji mahusiano na mwanaume yoyote"
Fafanua huhitaji mwanaume kwa maisha yako yote au kwa kipindi kipi?inaonekana kama moyo na ubongo wako vinadanganyana dada
Vinadanganya kivipi?
 
Avatar yako inaelezea kila kitu kuhusu wewe Na ndoa.Ndoto yako NI kuwa Mke wa fulani Nina watoto wawili wakiume Na wakike.Wakike anasema Shule ya kimataifa Na wakiume anasoma Kiingereza.Mme Wangu NI maneja wa bank Na hatuishi Uswazi blah blah.
Mapenzi NI kama kipepeo ukikifata kinakukimbia Na ukitulia kina kuja usoni.puani,masikioni Na kila sehemu.Mapenzi lazima uwe Na subira sio unavyo taka wewe basi ndio hivyo
Kila la kheri
Hv kutaka maisha bora ni dhambi??
 
Sio lazima kuoa / kuolewa mbona raisi wa Botswana hana mke na ana 55+
 
Habari zenu,

Naomba niwashukuru kwa michango yenu katika uzi wa Nimekata tamaa ya kuolewa, wenzangu wote wameolewa wote ambao mlishiriki nami kwa njia moja au nyingine, kunishauri na kunifariji.

Maamuzi niliyochukua ni kwamba nimeamua kuwa single, na wala sihitaji mahusiano na mwanaume yoyote kwa kipindi hiki, bali nitaongeza juhudi zaidi kumwomba MUNGU.

Nisijetena dumbukia kwenye mahusiano ambayo hayana msimamo na malengo.

ANGALIZO[emoji724]

[emoji838] Sihitaji PM ambazo zisizo na maana. Labda kwa ushauri tu na si mengineo.

[emoji120][emoji120].

Asanteni.
Your God win
 
Back
Top Bottom