Mrejesho: Nimekata tamaa ya kuolewa

Mrejesho: Nimekata tamaa ya kuolewa

Mhhhhhh wanaume wa karne hii tunashida sana

mi kuna wanawake wengine ukiwaona tu usoni unajua mbeleni yukoje ni kama kuchagua baiskel wakati unapanga safari ya kutoka dar to mwanza nadhani ata msata hutafika

embu jiangalie vizuri na umuulize wa jirani yako maana ukitaka kujua una nuka au unanukia jirani yak atakuambia
 
Well come to the stress free zone, your life is in your hands with prayers you will be surprised how stronger, faster and smarter you are.
Staki kuamini kuwa na wewe uko kwenye hilo kundi.
Au unamfariji mgonjwa tu?
 
Mungu atamleta kwa njia za mwenyewe. Kama anavyotulea riziki
Ahahaha
Hapo unaenda chenga ndugu yangu, wakati unasubiri lazima uwe open kwa watakao kuhitaji.
Mume siyo mvua kwamba kuna siku tu ata dondoka kutoka kwenye mawingu.
Hebu acha wagombea waje ndio mume atapatikana huko huko.
 
Kawaida kila mtu anapatwa kile anachostahili......

Unapokosa au kushindwa kufanikiwa au kufanikisha jambo fulani...katika maisha yako.....mtu wa kwanza wa kulaumiwa ni wewe....na unatakiwa ujichunguze kabla ya hujawanyooshea wengine vidole....

Kawaida....watu tunaowavuta maishani mwetu ni kutokana haiba zetu.....

Unapojizoesha kuwa na haiba nzuri...daima utavuta watu wazuri.....na unajozoeza haiba mbaya....watakuja wa kufanana nawe....
 
Mungu sio dhalimu unaposema uongo yeye hapendi mambo yapo kukuta uanaanza kulialia wewe kweli wa kuzaliwa 1900 na sasa unamiaka 116, vitu vingine mnajifungia wenyewe halafu mnaaza kulalamika mungu wakati mwingine anatoa adhabu, Tubu hiyo dhambi ya uongo Bwana akutokee
 
Pumbavuuuuuu kabisa
Habari zenu.naomba niwashukuru kwa michango yenu wotee. Ambao mlishiriki nami kwa njia moja au nyingine, Kunishauri na kunifariji.

Maamuzi niliyochukua ni kwamba. Nimeamua kuwa single, Na Wala Sihitaji mahusiano na mwanaume yoyote kwa kipindi hiki.bali ntaongeza juhudi zaidi kumwomba MUNGU,

nisije tena dumbukia kwenye mahusiano ambayo Hayana msimamo na malengo.

ANGALIZO[emoji724]

[emoji838]Sihitaji PM ambazo zisizo na maana. Labda kwa ushauri tu na si mengineo.

[emoji120][emoji120].Asanteni.
Pumbavuuuuu kweli
 
Mhhhhhh wanaume wa karne hii tunashida sana

mi kuna wanawake wengine ukiwaona tu usoni unajua mbeleni yukoje ni kama kuchagua baiskel wakati unapanga safari ya kutoka dar to mwanza nadhani ata msata hutafika

embu jiangalie vizuri na umuulize wa jirani yako maana ukitaka kujua una nuka au unanukia jirani yak atakuambia
Haya
 
Back
Top Bottom