My god win
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 361
- 240
- Thread starter
- #141
Asante.Polesana
Asante.Polesana
Imenibidi nichekeAhahaha
Hapo unaenda chenga ndugu yangu, wakati unasubiri lazima uwe open kwa watakao kuhutaji.
Mume siyo mvua kwamba kuna siku tu ata dondoka kutoka kwenye mawingu.
Hebu acha wagombea waje ndio mume atapatikana huko huko.
Sio kila ukiomba unapewa.Sio kudengua kupitiliza mtu anaomba mpk anataka kulia
Kwahiyo ww ungeninyima?!Sio kila ukiomba unapewa.
Inategemea.Kwahiyo ww ungeninyima?!
[emoji28]Imenibidi nicheke
Huwezi kukaa nyumbani na kukataa kazi ukitegemea Mungu akuletee riziki.Mungu atamleta kwa njia za mwenyewe. Kama anavyotulea riziki
Itategemea kama nami nataka.Hahahaha
Inategemea na nn?!...naww unakuwaga na mood?!
Naww nmeshakuona utakuwa mtata sana..[emoji2] [emoji1] [emoji1]Itategemea kama nami nataka.
Habari zenu.naomba niwashukuru kwa michango yenu wotee. Ambao mlishiriki nami kwa njia moja au nyingine, Kunishauri na kunifariji.
Maamuzi niliyochukua ni kwamba. Nimeamua kuwa single, Na Wala Sihitaji mahusiano na mwanaume yoyote kwa kipindi hiki.bali ntaongeza juhudi zaidi kumwomba MUNGU,
nisije tena dumbukia kwenye mahusiano ambayo Hayana msimamo na malengo.
ANGALIZO[emoji724]
[emoji838]Sihitaji PM ambazo zisizo na maana. Labda kwa ushauri tu na si mengineo.
[emoji120][emoji120].Asanteni.
[emoji16][emoji16]Mme wako bado nasoma,nikimaliza shule nitakutafuta.
HahaEndelea kumuomba Mungu akuonyeshe ni yupi,
ila fungua PM,lol usisuse bwana.