witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,839
- 47,769
Umeongea vizuri sana mkuu....kuna watu mnaona mbali sana!Kaa kimya mwambie MUNGU,kuja hapa kusema hutaki mume ilihali faida au asala ni ya kwako humu nani atakusaidia?sorry kwa kauli yangu kama utakwazika lakini sioni sababu ya kusema sema hapa kwa swala hilo lililo ndani yako na MUNGU pekee.
Hivi mitandao inamsaidia nini mtu kutatua tatizo lako?!!
Mi naona hapa ni pa kujiburudisha na kununua simu, laptop, jeans!!![emoji23] [emoji23] [emoji23]