Mrejesho: Nimekata tamaa ya kuolewa

My god win

JF-Expert Member
Jul 21, 2016
361
239
Habari zenu,

Naomba niwashukuru kwa michango yenu katika uzi wa Nimekata tamaa ya kuolewa, wenzangu wote wameolewa wote ambao mlishiriki nami kwa njia moja au nyingine, kunishauri na kunifariji.

Maamuzi niliyochukua ni kwamba nimeamua kuwa single, na wala sihitaji mahusiano na mwanaume yoyote kwa kipindi hiki, bali nitaongeza juhudi zaidi kumwomba MUNGU.

Nisijetena dumbukia kwenye mahusiano ambayo hayana msimamo na malengo.

ANGALIZO

Sihitaji PM ambazo zisizo na maana. Labda kwa ushauri tu na si mengineo.

.

Asanteni.
 
Na mimi nami niliwahi kupatwa na matatizo kama yako kwa mwanamke niliyekua naishi naye na mrejesho wangu Ukawa kama wakwako, je unaonaje tukiwa pamoja kwa mahusiano baadaye ndoa, kwa vile wote ni waathirika wa kimapenzi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom