Mrejesho: Nimekata tamaa ya kuolewa

Mrejesho: Nimekata tamaa ya kuolewa

Wadada wa siku hz vichekesho sana, unakuta unamfata ukiwa na malengo kabisa ya kuoa anakuzungusha baadae unaahirisha anaanza oooh nilikuwa nakupima kama uko serious, then ukitafuta mwingine ukatangaza ndoa anaanza kulialia tena ooh sina bahati SHIDA KUBWA MARINGO YASIYO NA MAANA MWISHIWE MNABAKI SINGLEs
Tumekusikia
 
Mungu sio dhalimu unaposema uongo yeye hapendi mambo yapo kukuta uanaanza kulialia wewe kweli wa kuzaliwa 1900 na sasa unamiaka 116, vitu vingine mnajifungia wenyewe halafu mnaaza kulalamika mungu wakati mwingine anatoa adhabu, Tubu hiyo dhambi ya uongo Bwana akutokee
Huo mwaka ulijiweka tu. Kimakosa
 
Maisha ni furaha, tafuta kuwa na furaha nje ya mahusiano, utapata mme bora ni pm nikisaidie
 
Back
Top Bottom