KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,830
- 12,314
Triki za kutafuta wachumba zinazidi kubuniwwa kila siku.
Anajielewa sana tuu mkuu...sema NDOA ni kitu anachodemand kwa sana mda huu!
Hayajakupata mkuu! Usiombe!
Ila baada ya mda itakuwa sawa tu
Nachoshangaa Mimi mume unamuomba M/Mungu si mchorano kama huu na binadamu hakusaidii sijui hana imani maskini!!!
Namuombea!
Mi ningependa tupate sehem tucheke wawili tuuCheka tu humu humu yaishe
[emoji16] [emoji16] [emoji16]Hahahahaha
Realy?!
Mkuu huko sitaki kuingia kichwa kichwa eti na mimi nimeolewa, ningependa niingie kwasababu nimempata niliyekuwa ninamsubiri.Angalia tu usije ukazeeka na huku utamu unautaka, karibu kwenye utamu wa ndoa..ndoa ina raha yake bwana asikwambie mtu
Niambieee basi[emoji16] [emoji16] [emoji16]
Hiyo Avatar hujaonaWeka picha yako kwanza
Umeshapata, au bado nikutaftie[emoji1]Mkuu huko sitaki kuingia kichwa kichwa eti na mimi nimeolewa, ningependa niingie kwasababu nimempata niliyekuwa ninamsubiri.
Ukinitafutia nitakulaumu nikiwa ninabondwa huko, asante kwa ushirikiano, lakini kwa maombi niliyofanya anakuja tu.Umeshapata, au bado nikutaftie[emoji1]
..Mbona kama unamimba kwenye DP yako?..Habari zenu.naomba niwashukuru kwa michango yenu wotee. Ambao mlishiriki nami kwa njia moja au nyingine, Kunishauri na kunifariji.
Maamuzi niliyochukua ni kwamba. Nimeamua kuwa single, Na Wala Sihitaji mahusiano na mwanaume yoyote kwa kipindi hiki.bali ntaongeza juhudi zaidi kumwomba MUNGU,
nisije tena dumbukia kwenye mahusiano ambayo Hayana msimamo na malengo.
ANGALIZO[emoji724]
[emoji838]Sihitaji PM ambazo zisizo na maana. Labda kwa ushauri tu na si mengineo.
[emoji120][emoji120].Asanteni.
"No zone is stress-free " and r member life is not a bed of roses, u've to encounter ups n downs that will eventually shape ur destiny n make u smarter n stronger,,,! Without which u can't stand anything,,,,!Well come to the stress free zone, your life is in your hands with prayers you will be surprised how stronger, faster and smarter you are.
LAZIMA UNA KASORO ILA HUTAKI KUIWEKA BAYANA , BUT SORRY 4 THAT MISS