Mrejesho: Nimekata tamaa ya kuolewa

Mrejesho: Nimekata tamaa ya kuolewa

narudia tena kwa umri huo jitahidi uzae ili kuepuka kuingia katika dimbwi la stress, watakuja wengi hapa kukupa moyo na ushari but ukweli utabaki pale pale
### kumbuka neno la ukweli sio zuri na neno zuri halina ukweli.
 
sasa umehamua kuwa single ndio utaolewaje? Ukimwomba Mungu inabidi na wewe uwakubali wanaokutongoza ukiwa single ni tatizo kwa kuwa mtu single inamaanisha huna mtu so possibility ya kuolewa ni 0%
 
Pole sana ila acha hasira..mme anakuja kwa process...
Exactly! Usipotengeneza mazingira ya kuwa 'wife material' hakuna mwanaume atakayekuoa watapita tu. Wanaume wapo makini sana katika kutambua yupi ni 'wife material'. Unakuta mwanamke anataka kuolewa alaf mizinga kwa mtu wake anapiga kila siku, unafikiri utaolewa kwa staili hiyo?
 
Habari zenu,

Naomba niwashukuru kwa michango yenu katika uzi wa Nimekata tamaa ya kuolewa, wenzangu wote wameolewa wote ambao mlishiriki nami kwa njia moja au nyingine, kunishauri na kunifariji.

Maamuzi niliyochukua ni kwamba nimeamua kuwa single, na wala sihitaji mahusiano na mwanaume yoyote kwa kipindi hiki, bali nitaongeza juhudi zaidi kumwomba MUNGU.

Nisijetena dumbukia kwenye mahusiano ambayo hayana msimamo na malengo.

ANGALIZO[emoji724]

[emoji838] Sihitaji PM ambazo zisizo na maana. Labda kwa ushauri tu na si mengineo.

[emoji120][emoji120].

Asanteni.
Mke , mume anataka kwa Mungu kuwa mpolee
 
Kila jambo na sababu yake.
Kila mti na tunda lake.
Kila tunda na mbegu yake.
Kila jambo na wakati wake.

Hatuwezi kuogopa lolote ikiwa hatukujilete wenye duniani.

Amini yupo aliyeumbwa kwa ajili yako.

Sema unaweza kusema umri wako, kwa maana wapo wanaume wengi humu wastaarabu na wenye busara ambao hawana wake na wanatafuta.

Kusema hutaki usumbufu ni kuzuia bahati yako. Huwezijua njia ambayo Mungu ameichagua kukupatia Mme wako.

Hata Mimi natafuta Mke.

Ikiwa utaniamini basi ni busara kufuatana nami Pm.
 
Mtu anataka kuolewa, halafu anaamua kuishi single, hataki mahusiano na mwanaume yeyote.
Ndoa itakuja kutoka mbinguni???
 
Habari zenu,

Naomba niwashukuru kwa michango yenu katika uzi wa Nimekata tamaa ya kuolewa, wenzangu wote wameolewa wote ambao mlishiriki nami kwa njia moja au nyingine, kunishauri na kunifariji.

Maamuzi niliyochukua ni kwamba nimeamua kuwa single, na wala sihitaji mahusiano na mwanaume yoyote kwa kipindi hiki, bali nitaongeza juhudi zaidi kumwomba MUNGU.

Nisijetena dumbukia kwenye mahusiano ambayo hayana msimamo na malengo.

ANGALIZO[emoji724]

[emoji838] Sihitaji PM ambazo zisizo na maana. Labda kwa ushauri tu na si mengineo.

[emoji120][emoji120].

Asanteni.
Je Tigo unatoa?
 
Back
Top Bottom