Mrejesho: Nimekata tamaa ya kuolewa

Mrejesho: Nimekata tamaa ya kuolewa

Habari zenu.naomba niwashukuru kwa michango yenu wotee. Ambao mlishiriki nami kwa njia moja au nyingine, Kunishauri na kunifariji.

Maamuzi niliyochukua ni kwamba. Nimeamua kuwa single, Na Wala Sihitaji mahusiano na mwanaume yoyote kwa kipindi hiki.bali ntaongeza juhudi zaidi kumwomba MUNGU,

nisije tena dumbukia kwenye mahusiano ambayo Hayana msimamo na malengo.

ANGALIZO[emoji724]

[emoji838]Sihitaji PM ambazo zisizo na maana. Labda kwa ushauri tu na si mengineo.

[emoji120][emoji120].Asanteni.
Mmmh....shosti mwezi uliopita si ulipost kuwa una mr anataka mzae naye kabla ya ndoa, then ukagairi kisa hana kazi ya maana na wewe una kakibalua ya kujishikiza.
Any way, pole na tutarajie post nyingine soon inayosema yule mr aliyekuwa maskini sasa ni tajili na umezaa naye.
 
Mmmh....shosti mwezi uliopita si ulipost kuwa una mr anataka mzae naye kabla ya ndoa, then ukagairi kisa hana kazi ya maana na wewe una kakibalua ya kujishikiza.
Any way, pole na tutarajie post nyingine soon inayosema yule mr aliyekuwa maskini sasa ni tajili na umezaa naye.
Kuna post ilikupita
 
Habari zenu.naomba niwashukuru kwa michango yenu wotee. Ambao mlishiriki nami kwa njia moja au nyingine, Kunishauri na kunifariji.

Maamuzi niliyochukua ni kwamba. Nimeamua kuwa single, Na Wala Sihitaji mahusiano na mwanaume yoyote kwa kipindi hiki.bali ntaongeza juhudi zaidi kumwomba MUNGU,

nisije tena dumbukia kwenye mahusiano ambayo Hayana msimamo na malengo.

ANGALIZO[emoji724]

[emoji838]Sihitaji PM ambazo zisizo na maana. Labda kwa ushauri tu na si mengineo.

[emoji120][emoji120].Asanteni.
Hongera dada yangu. Hapa duniani hakuna kitu kinachoumiza km mapenzi. Ni maamuzi mazuri sana tena sana. Ila siku ukiamua kumkabidhi mtu moyo wako. KUWA MAKINI. MUNGU WA MBINGUNI AKUTIE NGUVU
 
Sijakuelewa
Namaanisha kwamba wewe umeandika kua umeamu kua single na hauhitaji mahusiano na mwanaume, nadhani unamaanisha utaishi mwenyewe lakini katika uzi wako kuna sehemu umeandika kwamba unazidisha juhudi kumuomba Mungu ndo nakuuliza unaomba nini Mungu wakati mada yako ni kuolewa it means unamuomba Mungu akupe mume mwema by that fact kumbe hujaamua kua single isipokua unalazimika kua single kwa sababu Mungu hajakupa unayeridhika kua nae.
Kwa kusema hayo nasema bado unahitaji mume acha kutumia maneno ya kujifungia bahati kwamba umeamua kua single.
Huwezi kua single labda kama una matatizo kiafya
 
Hongera dada yangu. Hapa duniani hakuna kitu kinachoumiza km mapenzi. Ni maamuzi mazuri sana tena sana. Ila siku ukiamua kumkabidhi mtu moyo wako. KUWA MAKINI. MUNGU WA MBINGUNI AKUTIE NGUVU
Ameen
 
Back
Top Bottom